Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Tofauti yako na mkenya ni ipi? Mkenya akiitwa monkey sio tusi la kusherehekea maana mkenya anawakilisha rangi la jamii ya watu weusi.
WAKENYA SIO NYANI TU NI NYANI WABISHI
Hahahaha, jambo baya likitokea kwa wakenya, mnajaribu kulifanya liwe ni jambo la sisi wote, lakini Eliud Kipchoge ni Mkenya, katika mitandao ya kijamii neno lililozagaa ni " Proud Kenyans", kwanini hapa usiseme " Shame on Kenyans?Tofauti yako na mkenya ni ipi? Mkenya akiitwa monkey sio tusi la kusherehekea maana mkenya anawakilisha rangi la jamii ya watu weusi.
Anayeahikwa na ngozi ndiye mwizi wa Mbuzi.Watanzania tuwe wakweli na wawazi. Tusidindishe online vs Wakenya as if kama ingetokea kwetu tungemfanya huyo Mzungu lolote lile. Mara ngapi mambo kama haya wanafanyiwa Watanzania wenzetu ndani ya Tanzania na Watanzania wengine wanaanza kumsapoti Mzungu/Mchina/Mwarabu/Mhindi na kumcheka Mtanzania mwenzetu? Kuna stori kama kibao kama hizi zinatokea Tanzania mfano katika hotel, migahawa, mabasi, majumbani, sokoni. Watanzania tuache unafiki.
Leta mifano dhahiri acha porojoWatanzania tuwe wakweli na wawazi. Tusidindishe online vs Wakenya as if kama ingetokea kwetu tungemfanya huyo Mzungu lolote lile. Mara ngapi mambo kama haya wanafanyiwa Watanzania wenzetu ndani ya Tanzania na Watanzania wengine wanaanza kumsapoti Mzungu/Mchina/Mwarabu/Mhindi na kumcheka Mtanzania mwenzetu? Kuna stori kama kibao kama hizi zinatokea Tanzania mfano katika hotel, migahawa, mabasi, majumbani, sokoni. Watanzania tuache unafiki.
Ila Eliud Kipchoge ni mkenya tu.wakenya ni waafrica wakenya ni weusi kama wa uganda,tz,rwanda n,k
sasa hii vita si ya wakenya pekee ni kwa watu woote wapinga ubaguzi duniani
Sisi watu weusi tunapinga hatupo kama kenya.nyie ni monkey,mabeberu wamewageuzia kibao.punguzeni mbwembwe mnawashobokea mno.Jiwe endelea kukaza tutazoea kujitegemeaTofauti yako na mkenya ni ipi? Mkenya akiitwa monkey sio tusi la kusherehekea maana mkenya anawakilisha rangi la jamii ya watu weusi.
Na yule dada actress nae sio mwafrika ni mkenya Hollywood.ila issue mbovu ndo iwe mwafrika.wanapopambana na hali zao wasitikise za kwetu [emoji41][emoji41]Ila Eliud Kipchoge ni mkenya tu.
inawezezaka ya hapa kwetu hatuyajui , kama mkenya akitukanwa kwa kuitwa nyani haina maana anyemuona mkenya nyani ankuona wewe tofauti..... si kitu cha kushangiliaHalafu kwa nini haya mambo yanatokea frequently kwa wakenya tu???
Tofauti yako na mkenya ni ipi? Mkenya akiitwa monkey sio tusi la kusherehekea maana mkenya anawakilisha rangi la jamii ya watu weusi.
Wakenya ni nyani tu hilo halina ubishiinawezezaka ya hapa kwetu hatuyajui , kama mkenya akitukanwa kwa kuitwa nyani haina maana anyemuona mkenya nyani ankuona wewe tofauti..... si kitu cha kushangilia