Tetesi: Mzungu/Muitaliano wa January Makamba kuongea na waandishi wa Habari kesho Saa Nane, Hyatt Hotel

Status
Not open for further replies.

Pagan Amum

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
1,932
Reaction score
4,403
Kesho majira ya saa nane kamili Mzungu/Muitaliano aliyeibua ufisadi wa January Makamba akifanyia udalali rasilimali za nchi ataongea kila kitu, ikiwa ni pamoja na kutoa ushahidi mwingine wa Barua Pepe, Audio, na MSG...

Hatua hii inakuja baada ya Jana January kuongea huku akimshutumu kuwa ni tapeli. Kwa maana hiyo kaamua kesho kuongea na waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla....

Waandishi wa habari wote mnaalikwa. Kesho saa nane kamili!.....
 
Ataongelea wap?
 
Waandishi wa habari wanaalikwa wapi?acha mihemko
 
Wacha uongo wa mchana.
 
Duh ....hii ngoma inakwenda kuunguza picha si la January tu ...ikitokea huyo Muitaliano akanyimwa kuongea au akatishwa (itajulikana tu) itaweka mwanzo mbovu kwa JPM ....Hili sakata ni vihuzi vya mwanzo mwanzo kwa JPM ...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…