Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kichwa cha habari kinajielezaaaAtaongelea wap?
Unataka kuleta utetezi tena au wewe ni buZi LA Makamba unatetea ulikula Nate soma Uzi then unyuti!!!! Ebo mtaumbuka tu na magu pia atangaze Mali zake asituletee maigizo hapa.Waandishi wa habari wanaalikwa wapi?acha mihemko
Niko hapa Hyatt saizi... Na tunakamilisha maandalizi ya kesho. Au unataka source ganiSOURCE YA TAARIFA YAKO .... TAFADHALI! NI UTARATIBU WA JF NAONA UMEPOTEA SIKUHIZI .. MTU NALETA TAARIFA BILA KUWEKA CHANZO ..
Trust me, YOU WILL BE DISSAPPOINTED!Muosha huoshwa!
40 za mwizi zimefika.Tusubirie hiyo kesho
Ukumbi gani?Kesho majira ya saa nane kamili Mzungu/Muitaliano aliyeibua ufisadi wa January Makamba akifanyia udalali rasilimali za nchi ataongea kila kitu, ikiwa ni pamoja na kutoa ushahidi mwingine wa Barua Pepe, Audio, na MSG...
Hatua hii inakuja baada ya Jana January kuongea huku akimshutumu kuwa ni tapeli. Kwa maana hiyo kaamua kesho kuongea na waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla....
Waandishi wa habari wote mnaalikwa. Kesho saa nane kamili!.....
Ikiwa itathibitika alitoa rushwa ili apate tender nadhani sheria yetu ianzie kufanya kazi hapo, na isimuache makamba pia hawa wote wanatakiwa kuwajibishwa tu
Waandishi wa habari wanaalikwa wapi?acha mihemko