Mzungu ananunua vinyago na tamaduni kadhaa za asili kutoka Afrika kwa mwafrika.
Mwafrika ananunua teknolojia ya mzungu kisha anatumia wala hawezi kununua tamaduni zake kwa kuwa anazo.
Kila mtu anataka kipya
Angalia waafrika wangapi wana vinyago ama michoro ya asili majumbani mwao.
πππ
Sijui nimeandika nini.