Mzungu huyu alie ondoka simba au mzungu yupi?Pamoja na makando kando yake,mzungu na atabaki kuwa rafiki wa kweli wa mtu mweusi,hasa linapokuja swala la mahusiano ya mtu mmojammoja,we angalia watu wanaofanya kazi kwa wahindi,waarabi,wazungu wa china,utaona tofauti kwanzia kwenye mikataba na haki za haki za wafanyakazi,,wazungu hujali sana watanyakazi wao,nakumbuka kuna siku tulikuwa bar,kuna jamaaa alikuwa anaombaomba sana watu vinywaji,mzungu mmoja akaniuliza kwani huyu hafanyi kazi nikamjibu anafanya,akauliza tena so kwanini hana hela,nikamjibu sijui,akaniambia maliza kinywaji chako na twende polisi tukamshtaki boss wake,atakuwa anamzurumu huyu
akaniambia maliza kinywaji chako na twende polisi tukamshtaki boss wake,atakuwa anamzurumu
Wazungu walishastaarabika mapema, hawa wengine sijui wachina, waarabu, bado labda karne zijazo.Pamoja na makando kando yake,mzungu na atabaki kuwa rafiki wa kweli wa mtu mweusi,hasa linapokuja swala la mahusiano ya mtu mmojammoja,we angalia watu wanaofanya kazi kwa wahindi,waarabi,wazungu wa china,utaona tofauti kwanzia kwenye mikataba na haki za haki za wafanyakazi,,wazungu hujali sana watanyakazi wao,nakumbuka kuna siku tulikuwa bar,kuna jamaaa alikuwa anaombaomba sana watu vinywaji,mzungu mmoja akaniuliza kwani huyu hafanyi kazi nikamjibu anafanya,akauliza tena so kwanini hana hela,nikamjibu sijui,akaniambia maliza kinywaji chako na twende polisi tukamshtaki boss wake,atakuwa anamzurumu huyu
Utakuwa wewe ndio boss wa huyo jamaaHuyo mzungu ni mwehu, kwani kila ombaomba anayefanya kazi huwa kadhulumiwa na boss wake??!
Mbwa kabisa Hawa!hawajawahi kutupenda ngozi nyeusi ,wanafiki sanaBaada ya kudai haki zake za msingi. Waliostaarabika wakaamua Yao.
View attachment 2589768
Acha tuM
Mbwa kabisa Hawa!hawajawahi kutupenda ngozi nyeusi ,wanafiki sana
Hawana akili halafu wameendelea kuliko sisi magiza tuliopewa akiliKuna miarabu ile roho mbaya shetani hagusi, Mungu akainyima na akili
Kila jambo ni maandalizi mimi sitaki kuwaangalia weupe tuangaliane ss tunao juana tuaofanana ngozi nywele wengine wanakuwa wate na kusoma inakuwaje tunatoana roho?Pamoja na makando kando yake, mzungu na atabaki kuwa rafiki wa kweli wa mtu mweusi ,hasa linapokuja swala la mahusiano ya mtu mmojammoja, we angalia watu wanaofanya kazi kwa wahindi, waarabi, wazungu wachina, utaona tofauti kwanzia kwenye mikataba na haki za haki za wafanyakazi
Wazungu hujali sana watanyakazi wao, nakumbuka kuna siku tulikuwa bar, kuna jamaaa alikuwa anaombaomba sana watu vinywaji, mzungu mmoja akaniuliza kwani huyu hafanyi kazi nikamjibu anafanya, akauliza tena so kwanini hana hela, nikamjibu sijui, akaniambia maliza kinywaji chako na twende polisi tukamshtaki boss wake, atakuwa anamzurumu huyu.