Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Account fake hiyo double rr kwenye sarah
Andaa masikio tu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona kiki ya nyimbo mpya
Basi ya fake ya Harmonizehiyo si page ya sarah...yake haina double r.
Kwani kakwambia anakuihitaji usikiliz wimbo wake ?? Jama keshatusuwa wew kakeshe huko kona barMwambie Harmonize anatumia nguvu nyingi kutulazimisha kusikiliza wimbo wake.
Atakuwa ni mzungu aliyechelewa ndege huyuMzungu gani ana maneno kama ya MANGE KIMAMBI?Nina mashaka na uzungu wa huyu mzungu.
Hahaa eti ana maneno kama mange hahaaMzungu gani ana maneno kama ya MANGE KIMAMBI?Nina mashaka na uzungu wa huyu mzungu.
[emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji15] [emoji134]Mzungu wa kwa Mtogole sio mbele huyo