Mzungu wa Harmonize amtolea povu Wolper

Mzungu wa Harmonize amtolea povu Wolper

M
7cff54ad1b44343e535d7ceb388bb04c.jpg


9bfb321329c5e92eec11b0e44dc3bf7a.jpg
Mzungu gani huyo, sura ndefu kama ukuta wa keko.
 
Mzungu gani ana maneno kama ya MANGE KIMAMBI?Nina mashaka na uzungu wa huyu mzungu.

Tuwe makini popote tulipo ulimwenguni Kiswahili lugha ya kimataifa unaweza kushikwa bega na kuulizwa unasema nini!
The day a white woman told off Swahili speakers

Source: bmjmureithi
 
Harmonize Anafanana Na Remmy Ongala!
ulitaka kusemaje?binadamu mna dharau sana aise,huyo unaemdharau maisha yake unayatamani sana sema ndo ivo tu wewe mungu kakupa ujustine bieber kakujima maisha,mwenzko kapewa uremmy ongala lkn ana maisha.
 
Back
Top Bottom