Mzungu wa simba achukia baada ya kudhihakiwa mtandao leo

Waleteee waleteee letaaa mzunguu. Sasa hivi Simba mpk mtoto ambae hajazaliwa anaijua
Mkuu...wew si ndio ulikuwa unapiga Vita hiz mambo..[emoji23][emoji23]
 
Wa bongo ni wa shamba na wabaguzi kujificha nyuma ya ushabiki wa mpira huyu mtu anekua harassed and booed bila sabab za msingi, ingekua kwingine shirika la mpira lingechukua hatua kwa hao mashabiki
 
Wa bongo ni wa shamba na wabaguzi kujificha nyuma ya ushabiki wa mpira huyu mtu anekua harassed and booed bila sabab za msingi, ingekua kwingine shirika la mpira lingechukua hatua kwa hao mashabiki
Kibaya Hadi page kubwa za mpira zina support
 
Hata mchambuzi juma ayo....amenawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…