Mzungu

Mzungu

Hassani

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
900
Reaction score
1,632
Kuna mzungu alifika benki na nyani wake,akaenda kumfunga sehemu walipokuwa wamekaa kikundi cha waafrika akawaambia "Embu mchungeni ndugu yenu huyu",na yeye akaingia benki.Wale waafrika wakachukia kuambiwa wana undugu na nyani wakamuua yule nyani.Aliporudi kumkuta nyani wake kafa akapanic kwa hasira na kuanza kuuliza aliyemuua.Wakamjibu "Hayo ni mambo ya kifamilia hayakuhusu".
 
Kuna mzungu alifika benki na nyani wake,akaenda kumfunga sehemu walipokuwa wamekaa kikundi cha waafrika akawaambia "Embu mchungeni ndugu yenu huyu",na yeye akaingia benki.Wale waafrika wakachukia kuambiwa wana undugu na nyani wakamuua yule nyani.Aliporudi kumkuta nyani wake kafa akapanic kwa hasira na kuanza kuuliza aliyemuua.Wakamjibu "Hayo ni mambo ya kifamilia hayakuhusu".
Kama kunamtu aliyechukua point tatu zote kwangu ni wewe,yaani siku ya leo sikuhitaji kabisa kucheka,ila hii kali mno!!
 
Kuna mzungu alifika benki na nyani wake,akaenda kumfunga sehemu walipokuwa wamekaa kikundi cha waafrika akawaambia "Embu mchungeni ndugu yenu huyu",na yeye akaingia benki.Wale waafrika wakachukia kuambiwa wana undugu na nyani wakamuua yule nyani.Aliporudi kumkuta nyani wake kafa akapanic kwa hasira na kuanza kuuliza aliyemuua.Wakamjibu "Hayo ni mambo ya kifamilia hayakuhusu".

Nice one ha ha ha haaaaaaaa
 
Kuna mzungu alifika benki na nyani wake,akaenda kumfunga sehemu walipokuwa wamekaa kikundi cha waafrika akawaambia "Embu mchungeni ndugu yenu huyu",na yeye akaingia benki.Wale waafrika wakachukia kuambiwa wana undugu na nyani wakamuua yule nyani.Aliporudi kumkuta nyani wake kafa akapanic kwa hasira na kuanza kuuliza aliyemuua.Wakamjibu "Hayo ni mambo ya kifamilia hayakuhusu".

Hoi kwa kicheko, tena walivyomjibu mzungu..ha ha
 
Kwenye matanga wanahusika familia tu;
Good one.
 
Back
Top Bottom