Muacheni avune alichopanda, maana usikute alitapeli watu na wamelipiza kisasi, mara nyingi mtu akiona kayaharibu huko anaanza kuikashifu serikali ili wakimtungua wabaya wake basi serikali isingiziwe. Uzuri mabeberu wapo macho sana pia kuona potential targets ili kuaminisha umma kuwa kuna hivyo vituJuu nimesema ukweli?Tanzania is Gangster StateView attachment 1088697View attachment 1088698
Hawa ndio nani? Takataka! Tanzania is resillient hata propaganda za lissu na risasi zake hazi jafanya Reli, barabara au umeme usisambazweJuu nimesema ukweli?Tanzania is Gangster StateView attachment 1088697View attachment 1088698
Hawa ndio nani? Takataka! Tanzania is resillient hata propaganda za lissu na risasi zake hazi jafanya Reli, barabara au umeme usisambazwe
Umemteka wewe?Ambieni JPM arudishe huyu.View attachment 1088482
Hapa leo umetoa points moja kubwa SafiHizi dollar ni fake kweli ama tunaambiwa hivyo ili tusiulize maswali mengi e.g zile $20million zilizopatikana juzi zinachungwa na nani na kuna uhakika ghani bado ziko kwa evedence room ya polisi? Inaezakua huko Kwa evidence room ndo zinageuzwa na fake dollar alafu hizo real dollar zinaenda kwengine , I suspect hii NI drug money na kuna watu mashuhuri serekalini wako Kwa turf war, wanaonyeshana who is boss, na Sisi kama raia wa kawaida tunachezewa akili .....
Wakenya kwa fake money ndy wenyewe
Ova
Wako vzr kwa upigaji wa fedha bandia majirani zetuKwa wenyewe hiyo haina shida kabisa. Dola ni Dola tu.
Tunakushukulu mkuuWakuu,
Mjitahadhari sana mnapo pokea malipo ya bidhaa ama mazao yenu kutoka kenya mkutumia dollar, euro ama GBP.
Mkilala mtaingizwa vichakani..
JPM aangalie sana zile dollar za mauzo ya korosho hatakama ni bank guarantee (Eletronic transfer)
Yaan Kenya wizi nyie utapeli nyie rushwa nyie hadi dollar fake nyinyi wenyewe kaaa maanko mmeshindikana
dude, Mlipoteza asilimia 60 (ndovu zaidi ya 80,000) ya ndovu wenu ndani ya miaka kumi, unafikiri ni kina nani ndo walihusika ili hii biashara ya poaching ifayike kwa kiwango hichi???? fROM 109,000 ELEPHANTS TO 43,000 ELEPHANTS IN 5 YEARS!!!! https://www.huffpost.com/entry/tanzania-elephants-60-percent_n_7494376Ikifikia hatua ya kwamba hata vyombo vya ulinzi na usalama, na hata mahakama vimepoteza kuaminika kiasi kikubwa kama ilivyo huko Kenya, nchi inaitwa "Failed state".
Nine People have been arrested with millions of fake US Dollars in Kilimani area.
"Among them are seven foreigners from DR Congo, Rwanda and Uganda," DCI boss George Kinoti said on Sunday.
They are: Bongo Ulerech, Olivier Mango, George Sr Gboe, Richard Kabasili, Egid Musolieva,Timothy Muhumuza, Brian Kimani and Ken Lugwili.
Nine arrested with fake US currency in Kilimani area
Seven foreigners are among the arrested suspects..www.the-star.co.ke
Mama ngina kenyatta is responsible for 90% of all poched Rinho and elephants in kenya..There is nothing Tz can learn from kenya interms of Wildlife preservation, absolutley nothingdude, Mlipoteza asilimia 60 (ndovu zaidi ya 80,000) ya ndovu wenu ndani ya miaka kumi, unafikiri ni kina nani ndo walihusika ili hii biashara ya poaching ifayike kwa kiwango hichi???? fROM 109,000 ELEPHANTS TO 43,000 ELEPHANTS IN 5 YEARS!!!! https://www.huffpost.com/entry/tanzania-elephants-60-percent_n_7494376
Hivi Tanzania mmefanyikiwa kukinga mihadarati ya Cocain,Heroine, Crack.... etc kuingia na kusambazwa nchini?????? Unafikiri hi biashara ya mmihadarati inaweza kufanyika bila baadhi wa ma officer wakubwa wa usalama kuhusika???? DON'T BE NAIVE MY FRIEN.
Hizi pesa zilizoshikwa usishangae ilikua ni expansion capital ya kuendeleza biashara ya kuhonga polisi East and Central Africa ili biashara ya miharadarati iendelee. Kati ya walioshikwa na hizo pesa kuna wa Rwanda, Uganda, DRC
Kenya has never lost such un unprecedented number of elephants in such a short period of time ever!!!!!! And talking about Kenya's case does not absolve what happened in Tz and the fact that its government officials and high ranking well connected law enforcement officers who facilitate this illegal trade after taking their cut.Mama ngina kenyatta is responsible for 90% of all poched Rinho and elephants in kenya..There is nothing Tz can learn from kenya interms of Wildlife preservation, absolutley nothing
Hivi alishawahahii kumtukana mpk muasisi wa taifa letuAhaaa haaa haaa
Ametulia hata hajulikani aliko.
Kumtukana Nyerere ni jambo zito SANA. Huwezi achwa salama. Lazima uandamwe na zimwi lake. Yaani LISU anathubutu kumtukana baba wa taifa hili!!
Si kumtukana tunaweza sema alimdhihaki kwa kudharau mchango aliotoa, sawa na mwanao akwambie baba sioni uspecial wowote ulio nao kwangu. Wewe ni kama wanaume wengine tu kwangu.Hivi alishawahahii kumtukana mpk muasisi wa taifa letu