Mzunguko wa dunia katika mhimili wake

Kwanza nishukuru kwa majibu murua..Twende mbele..Kwanza mkuu mass ya dunia kupitia centrifugal force ndiyo vinafanya dunia kuzunguka kwa speed ambapo vitu vyote vinavutwa katikati? Right?

Sasa kama ni ndiyo je mass iliyopo kwenye atmosphere (maana huko kuna gases na tinny materials) ni sawa na iliyopo kwenye body la dunia hii hii? Kama sio kwanini speed isitofautiane. Na ni kitu gani kinafanya vitu viwili vikubwa vyenye uzito usioendana kuzunguka pamoja kwa speed ile ile?

Troposphere ni kweli inazunguka speed ile ile na Exosphere iliyopo karibu na jua. Na wanasema Exosphere is the layer where all molecules and atoms escape into the space. Escape escape wakati dunia all things are pulled into the center. Bado nina doubt na atmosphere kuzunguka pamoja na hili limviringo letu mkuu. Hivyo hivyo kwa layers zingine naomba ufafanuzi mkuu
Stratosphere
Mesosphere
Thermosphere Exosphere????????????
 
Sifa zimezidi...... mbona swali kwnyewe haliusiani na majibu yako
 
Mkuu sina exactly majibu ya maswali ila nisome tu poa juu apo utaelewa baadala ya kupaste swali hilo hilo ktk Kila anaejibu, siwezi kwenda in details ivo kwa vile mimi sio mwanajografia, Kitu kingine mzunguko wa Dunia na Vitu vingine angani huko husababishwa na Gravitational force, Hata sattelite hutegemea Gravity kurotate
 
Good explanation, hope ameelewa!
 
Mimi hofu yangu moja tu kuhusu dunia kujizungusha nimefanya utafiti mdogo tu wa anga ..juu ya nyota zetu ni kwamba nilijaribu kutengeneza umbo la nyota angani kwa muelekeo uleule na saa zilezile . lakini yapata miezi saba sasa umbo lile la nyota naliona vilevile na direction ileile na muda uleule
 
Poa mkuu...pale juu nimekuelewa ndiyo maana nikakuletea hilo ili uendelee ulipoishia.
Ahsante saana pia.
 
Bado unambembeleza dogo au umesharudi, umereserve space alafu badala ya kumuelewesha dogo umeongea yako ya kuweka banda.
 
Dunia hujizungusha kwa masaa 23.56 ambayo approx ni 24 hours. Hapo kuna usiku na mchana.

Na kama unavyojua nyota huonekana usiku. Hivyo nyota uliyotarget unaiona pale pale kwasababu mzunguko wa dunia haukubadilishii station upo pale pale na ile ile sehemu kila siku usiku.
 
Izo ni live Feed from Nasa Jet Propulsion laboratory in real time, nimeshindwa kuzishika ka video bado najaribu, ISS, Suomi NPP na dunia vyote viko kwenye motion, ntaongeza nyama nikizinasa vizuri
 
Izo ni live Feed from Nasa Jet Propulsion laboratory in real time, nimeshindwa kuzishika ka video bado najaribu, ISS, Suomi NPP na dunia vyote viko kwenye motion, ntaongeza nyama nikizinasa vizuri
Ok...
 
Umejuaje kwamba sisimizi hawezi kuhisi kwamba gari lina move?...Inawezekana asiweze kuhisi sababu hana utashi wa kugutambua kwamba anachokihisi ni movement...Lakini huwezi sema sisimizi hawezi kuhisi movement wakati huna uhakika zaid ya ku speculate..
 
Bora umekuja tuendeleze Mjadala tupate majibu yakinifu....nimeongeza maswali mkuu turirika
 
Asante Mkuu mwalimu wako wa Geography nd Physiscs Hakupiga kelele Bure Darasan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…