Mzunguko wa dunia katika mhimili wake

Swali rahisi sana izo point ziko north pole and south pole. kwa mfano upepo uko unaweza kua almost at stand still ila unaposogea kuelekea equator speed yake ndo inapozid kuwa kubwa
Na mfano mzuri uko South pole antarctica kuna kambi maarufu sana pale ya wa marekani inaitwa McMurdo station, kama uwa unafuatilia research zinazofanyika uko utagundua kwamba uwa hakuna mchana wala usiku mda wote ni kama jioni.
 
Ili uione dunia ianzunguka, inakubidi utoke nje ya anga la dunia, ukae kwenye space station ilitosimama au unayokwenda speed ndogo zaidi ya mzunguko wa dunia.

Vipi kama unachokiona ni optical illusion tu?

Kuna uhakika gani kama kweli inazunguruka?
 
swali la kujiuliza:
TEKNOLOJIA SASAHIVI IMEKUWA, KILA SIKU NASA PAMOJA NA MASHIRIKA MENGINE YANATUMA ROCKET KWENDA ANGA ZA MBALI,
SASA TUSEME WAMESHINDWA KUTUMA CHOMBO CHA KURECORD DUNIA IKIZUNGUKA?
Bila ushahidi wa video mimi hawanipati
Upo sahihi mkuu huwa waongo sana,
 
Jibu bado sijaliona kila aliyechangia anachangi kibashite bashite tu
 
Haha haha ni vema kujifunza mambo mengi,

Huyu aliyeuliza swali jibu analo.

Ila anataka kutupima IQ
 
Safi sana.
 
Kuona ni kuamini.

Kama wanasema walienda mpaka mwenzini wanashindwa nini kutuletea video wakituonesha hiyo Dunia inavyojizungusha?!
 
binafsi niko njia panda, kama nyota na mwezi ziko nje ya uso wa dunia, kwa kuzitazama tusingeona kwamba tunazunguka? ukitumia telescope kuangalia baadhi ya sayari nahisi pia isingewezekana kuzitazama kwa muda mrefu zikiwa pale pale. satelite ziko nje ya uso wa dunia,mbona hatuonyeshwi uhalisia wa dunia ikizunguka?
itafahamika tu...
 
Kuona ni kuamini.

Kama wanasema walienda mpaka mwenzini wanashindwa nini kutuletea video wakituonesha hiyo Dunia inavyojizungusha?!
Kwahiyo unataka kusema dunia ipo stationary?
 
Thanks for bringing this into attention of great thinkers...
I hope this topic will make all of us start thinking differently astronomically....

Let me also wait....
 
Kujibu haya maswali,Tuchukue sisimizi tumuweke kwenye mpira( Football) Then tuufanye mpira U-move wakati sisimisi akiendelea na ishu zake,kisha tumuone huyohuyo sisimizi kama chombo chochote kinacho move kwa speed yeyote hapa duniani..........Tutakachokiona ndio hicho nahisi kinafanyika kutokana na uelewa wangu!
 
Very logical explanation.... Thanks..
 
Daaaa jamaa we cjui mwalimu? Nawaonea wivu wanafunzi wako kama ni mwalimu,ila kama co mwalimu ujue unaua kipaji.
 
Kama dunia inazunguka kwa speed ambayo ni kubwa kuliko hata gari je inakuwaje hata maji ya bahari,mito,maziwa hayamwagiki hata kidogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…