dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Habari wakuu,
Nilileta hapa jukwaani Uzi wa siku za hatari za mke wangu.
Kitu kinachonikanganya ni mzunguko wake, manake mwezi December hakuingia kabisa katika ada yake.
Mwezi November aliingia tarehe 2 na ikakata tarehe 8.
Chakusikitisha ni kwamba ada yake ( hedhi) imerejea tena november 12 , 2017 .
Sasa najiuliza ndo mzunguko gani huu?, je utahesabuje siku za hatari?
Mara ya mwisho kuziona siku zake ilikuwa october 22 , 2017 hadi alipoziona tena december 2, 2017.
Je huu ni ugonjwa ama ni mabadiliko tu yakimazingira?
Afu wadau wengine wanakwambia siku ya hatari ni siku ya 14 tokea aanze hedhi , kweli ?
Nawasilisha.
Nilileta hapa jukwaani Uzi wa siku za hatari za mke wangu.
Kitu kinachonikanganya ni mzunguko wake, manake mwezi December hakuingia kabisa katika ada yake.
Mwezi November aliingia tarehe 2 na ikakata tarehe 8.
Chakusikitisha ni kwamba ada yake ( hedhi) imerejea tena november 12 , 2017 .
Sasa najiuliza ndo mzunguko gani huu?, je utahesabuje siku za hatari?
Mara ya mwisho kuziona siku zake ilikuwa october 22 , 2017 hadi alipoziona tena december 2, 2017.
Je huu ni ugonjwa ama ni mabadiliko tu yakimazingira?
Afu wadau wengine wanakwambia siku ya hatari ni siku ya 14 tokea aanze hedhi , kweli ?
Nawasilisha.