Mzunguko wangu wa siku za mwezi unanichanganya

Mzunguko wangu wa siku za mwezi unanichanganya

Generally mzunguko kubadilika sio shida au tatizo la kiafya hasa kama baada ya mabadiliko umebaki constant.

Huenda unaposema menopause - hapa nawaza huenda uko 34ish kuendelea - na labda (R) labda huenda ni dalili. Ingawa siikubali hii sana maana ingekuwa menopause ungekaa mwezi mmoja usipate, mwezi ujao upate, au zipishane tu bila kuwa na tarehe maalumu.

Anyway, ni vyema ukafanya taratibu za kuonana na daktari umuelezee hofu yako. Wakati mwingine unahitaji tu mtu wa kuongea naye na kukusikiliza. Hata asipokupa dawa...nakushauri uende kumuona daktari wako umpendaye. Usiende kwa wale madaktari ambao tangu unaingia hadi unatoka yeye macho yako kwenye karatasi mezani. Nenda kwa dokta mwenye kuijua fani yake na anayejua kutibu ni zaidi ya kuandika.

All the best.
asante kwa ushauri mkuu .dunia ingekuwa na watu hata mia tu kama wewe ingekuwa sehemu salama sana .asante sana wewe ndo mwanaume sasa .mtu ana shida yake anauliza hii ni open forum mtu anakuja na kejeli tu .
 
umezidi maigizo

nadhani una msongo ama stress za maisha. unaonyesha namna gani una u pessimist. kwako wewe kila kitu kibaya mara unene hupendi, hupendi wanaume, upendi mapenzi upendi upendi upendi kila kitu na bado unapendi. mwisho wa siku utakuwa mwendawazimi.

do not think loud.... enjoy your life be optimist you will enjoy hakuna binadamu malaika na hata wale malaika wazuri walibadilika na kuwa mashetani
mkuuu mbona nipo ok tu na maisha
 
Aaaaaaah! Dada yangu Mambo mengine yanahitaji staha. Bado sisi waafrika. Mboma tukijaribu kufungua mikoba yenu mnatukemea kwamba tutakuta vitu visivyotuhusu hii huwa mnamaana gani. Staha/Heshima na maadili. Sio Vibaya mtu kufunguka mambo yao ya SIRI lakini tunamuangalia kwa jicho la tatu.
acha uzamani mkuu kitu cha kawaida hiki
 
Nasikia ule mchezo ukikosa ratiba nao unachangia,ndio maana hizo hali za kawaida sana siku hizi!
 
huna matatizo mamy .. wengine hubadilika badilika lakini mambo safi .. ila acha kuwatusi wanaume wakupende ha ha hahaha .. wapende mahaba niue kubali kufa,....... ila pesa nayo uangalie iwepo
ahahaaa kwani nawachukia wanaume jamani?
 
[QUOTE="Miss Natafuta,
acha ujinga[/QUOTE]

ujinga kuolewa au kutokuolewa? but ujinga ni kutokujua huenda still hujajua umuhimu wa kuolewa

pili swali lako halijakaa vizuri maana hata uwe na mzunguko wa siku 28 huwezi kuona siku zako kila tarehe 28 ya mwezi unaofuata

mzunguko sio tarehe za mwezi bali ni zile siku toka umeanza period yako

na record huchukuliwa mzunguko wa miezi mitatu hapo ndipo utajua ni mrefu siku 29 au mfupi siku 27 na kama ni unperiodic utajua

mfano umeingia tarehe leo tarehe 26 ina maana mwezi ujao utaingia tarehe 23 kwa yule wa siku 28 normal woman
na huyu mwenye mfupi 22
mwingine hukata hadi siku tatu tarehe 20 sasa hapo kuna sababu zinazofanya itokee hivyo

hormone imbalance
stress
mpangilio mbovu wa kula
utoaji mimba n.k

hebu funguka records zako tatu za nyuma usaidiwe
 
huna matatizo mamy .. wengine hubadilika badilika lakini mambo safi .. ila acha kuwatusi wanaume wakupende ha ha hahaha .. wapende mahaba niue kubali kufa,....... ila pesa nayo uangalie iwepo
Anakosa mengi!!......hajui hata rahaa ya kupanda juu![emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
kuhusu mazingira sijabadili mkuu!wala sijasafiri .pia situmii dawa zozote za uzazi maana sifanyi mapenzi na yoyote
kuhusu ngono sijafanya kitambo sana mkuu almost yrs!
Aina ya vyakula pia huweza Badilisha mzunguko..
Pia chronic depression inaweza pia badilisha mzunguko wa hedhi..

Pia tention.. Nayo yaweza badili..
In fact Kuna factors nyingi sana zinazoweza kuathiri mzunguko wa hedhi..
Kikubwa ni kumuona daktar.. Na kumueleza historia yako.. Ndo Utaweza kugundua chanzo hasa ni nini..

Polee Sana Miss.. Ts a good sign ya kuwaza kupata mtot.
 
Aina ya vyakula pia huweza Badilisha mzunguko..
Pia chronic depression inaweza pia badilisha mzunguko wa hedhi..

Pia tention.. Nayo yaweza badili..
In fact Kuna factors nyingi sana zinazoweza kuathiri mzunguko wa hedhi..
Kikubwa ni kumuona daktar.. Na kumueleza historia yako.. Ndo Utaweza kugundua chanzo hasa ni nini..

Polee Sana Miss.. Ts a good sign ya kuwaza kupata mtot.
asanteni
 
Hapo mwanzo nilikuwa na mzunguko wa siku 28, siku hizi kila Tarehe 23 ya mwezi mpya ndo naanza kuona siku. Tarehe 23 hadi 23 nyingine ni siku ngapi? Na je ni mzunguko mzuri?

Maana naogopa isije ikawa uzee ushanifikia hadi kwenye uzazi mwenzenu naogopa sana sijazaa bado.
Sasa kwa nini huzai? Kuna shida au bado hujapata mwenza?
 
Back
Top Bottom