KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,049
Kama ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam.. Then gari yenye Natural Aspirated engine kwako ni sawa..
Ila kama unaishi nje ya Dar ni bora utafute gari yenye Turbo.. Ukiwa na Natural Aspirated hautoweza kupata power yote kama mtu wa Dar..!
Dar ipo +0.00m kutoka usawa wa bahari..
Mikoa mingi ipo juu ya huu usawa.. Mfano Mbeya ni 1700m kutoka usawa wa bahari.. Sasa kwenye kila 300m inayoongezeka kutoka usawa wa bahari engine yako itakuwa inapoteza nguvu kwa around 3%..!
Kwahiyo gari yenye 200hp Dar es Salaam Mbeya itakuwa na 166hp..
Hii ni kutokana na engine kushindwa kuvuta hewa vizuri same na binadamu ukipanda mlimani unavyopata shida kuvuta hewa..!
Hili tatizo kwenye Turbo halipo ndio maana gari zenye Turbo kwenye kupanda milima ndio zenyewe..
Mkonga vs Defender kwenye mlima..!
Ila kama unaishi nje ya Dar ni bora utafute gari yenye Turbo.. Ukiwa na Natural Aspirated hautoweza kupata power yote kama mtu wa Dar..!
Dar ipo +0.00m kutoka usawa wa bahari..
Mikoa mingi ipo juu ya huu usawa.. Mfano Mbeya ni 1700m kutoka usawa wa bahari.. Sasa kwenye kila 300m inayoongezeka kutoka usawa wa bahari engine yako itakuwa inapoteza nguvu kwa around 3%..!
Kwahiyo gari yenye 200hp Dar es Salaam Mbeya itakuwa na 166hp..
Hii ni kutokana na engine kushindwa kuvuta hewa vizuri same na binadamu ukipanda mlimani unavyopata shida kuvuta hewa..!
Hili tatizo kwenye Turbo halipo ndio maana gari zenye Turbo kwenye kupanda milima ndio zenyewe..
Mkonga vs Defender kwenye mlima..!