N/A Engine kupungua nguvu mikoani

N/A Engine kupungua nguvu mikoani

KndNo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
627
Reaction score
2,049
Kama ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam.. Then gari yenye Natural Aspirated engine kwako ni sawa..
Ila kama unaishi nje ya Dar ni bora utafute gari yenye Turbo.. Ukiwa na Natural Aspirated hautoweza kupata power yote kama mtu wa Dar..!

Dar ipo +0.00m kutoka usawa wa bahari..
Mikoa mingi ipo juu ya huu usawa.. Mfano Mbeya ni 1700m kutoka usawa wa bahari.. Sasa kwenye kila 300m inayoongezeka kutoka usawa wa bahari engine yako itakuwa inapoteza nguvu kwa around 3%..!
Kwahiyo gari yenye 200hp Dar es Salaam Mbeya itakuwa na 166hp..
Hii ni kutokana na engine kushindwa kuvuta hewa vizuri same na binadamu ukipanda mlimani unavyopata shida kuvuta hewa..!

Hili tatizo kwenye Turbo halipo ndio maana gari zenye Turbo kwenye kupanda milima ndio zenyewe..
Mkonga vs Defender kwenye mlima..!
 
Kama ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam.. Then gari yenye Natural Aspirated engine kwako ni sawa..
Ila kama unaishi nje ya Dar ni bora utafute gari yenye Turbo.. Ukiwa na Natural Aspirated hautoweza kupata power yote kama mtu wa Dar..!

Dar ipo +0.00m kutoka usawa wa bahari..
Mikoa mingi ipo juu ya huu usawa.. Mfano Mbeya ni 1700m kutoka usawa wa bahari.. Sasa kwenye kila 300m inayoongezeka kutoka usawa wa bahari engine yako itakuwa inapoteza nguvu kwa around 3%..!
Kwahiyo gari yenye 200hp Dar es Salaam Mbeya itakuwa na 166hp..
Hii ni kutokana na engine kushindwa kuvuta hewa vizuri same na binadamu ukipanda mlimani unavyopata shida kuvuta hewa..!

Hili tatizo kwenye Turbo halipo ndio maana gari zenye Turbo kwenye kupanda milima ndio zenyewe..
Mkonga vs Defender kwenye mlima..!

Kampuni kama BMW gari zake nyingi za kuanzia 2011 ameachana na hizo NA...

Screenshot_2022-01-10-16-52-06-145_com.android.chrome.jpg

BMW 3 series F30,31,34,35

Screenshot_2022-01-10-16-52-34-433_com.android.chrome.jpg

BMW 3 series G20,21,....
 
Hii research umeanzia japan kabisa au bongo tu...anyway, sawa wengine hatujui kitu ni kukanyaga wese tu
Ikifika zambia itakuwa na HP 100
Hiyo kitu ipo mkuu...

Atmospheric pressure inapungua kadri unavyopanda mlima. Na inakuwa maximum kwenye usawa wa bahari.

Pressure inapokuwa ndogo hewa inaingia kwa shida kwenye engine ukilinganisha na sehemu ambapo pressure ni kubwa. Hii ni kwa Natural aspirated engines.

Kwa upande wa gari zenye turbo, Turbo inalazimisha hewa kuingia kwenye engine hivyo hakutakuwa na mabadiliko yoyote.
 
Hiyo kitu ipo mkuu...

Atmospheric pressure inapungua kadri unavyopanda mlima. Na inakuwa maximum kwenye usawa wa bahari.

Pressure inapokuwa ndogo hewa inaingia kwa shida kwenye engine ukilinganisha na sehemu ambapo pressure ni kubwa. Hii ni kwa Natural aspirated engines.

Kwa upande wa gari zenye turbo, Turbo inalazimisha hewa kuingia kwenye engine hivyo hakutakuwa na mabadiliko yoyote.
Sawa mkuu
 
Gari si inavuta hewa nje😅 tena horse yake ni pana😅 inakosaje hewa? Tena gari mkoa wenye baridi ndio inapiga kazi kweri kweri tofauti na Dar hewa ya moto gari inateseka balaa
 
Ishu ni hiyo hewa ya kuvuta teyari imepungua..

Kuna tofauti kati ya baridi na atmospherics pressure.. Kwenye baridi yes gari itapiga kazi sababu ya cold air intake..
Kwenye elevation pressure imeshapungua.. Kwahiyo hata kama hewa ni baridi bado kuna loss..

Pia unaweza kupata hewa baridi kwenye +0.00..nchi zenye winter..!
 
Ama wa mikoani tuchimbe barabara zetu mpaka tufikie usawa wa bahari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ama wa mikoani tuchimbe barabara zetu mpaka tufikie usawa wa bahari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha sio wote wanapenda kuwa usawa wa bahari..
Tafuteni gari zenye Turbo..!
 
Back
Top Bottom