Jerry Jerry
Member
- Jul 31, 2013
- 40
- 0
Leo katika pitapita zangu nimekutana na habari kuwa chuo cha taifa cha usafirishaji karibuni kitaanza kutoa kozi za urubani.
wanaanzia level gani, cheti,stashahada au shahada?
Leo katika pitapita zangu nimekutana na habari kuwa chuo cha taifa cha usafirishaji karibuni kitaanza kutoa kozi za urubani.
Huu ni ujinga. Wanatoa Marubani ili wakaendeshe ndege zipi???. Kama mtu anataka frustrations za maisha aende akasome huo urubani. Maana akitoka huko ataenda kuendesha ndege ya shangazi yake, kama shangazi yake hana ndege ya kumpa aendeshe amekwisha.
Huu ni ujinga. Wanatoa Marubani ili wakaendeshe ndege zipi???. Kama mtu anataka frustrations za maisha aende akasome huo urubani. Maana akitoka huko ataenda kuendesha ndege ya shangazi yake, kama shangazi yake hana ndege ya kumpa aendeshe amekwisha.