Jerry Jerry
Member
- Jul 31, 2013
- 40
- 0
Leo katika pitapita zangu nimekutana na habari kuwa chuo cha taifa cha usafirishaji karibuni kitaanza kutoa kozi za urubani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo katika pitapita zangu nimekutana na habari kuwa chuo cha taifa cha usafirishaji karibuni kitaanza kutoa kozi za urubani.
wanaanzia level gani, cheti,stashahada au shahada?
Leo katika pitapita zangu nimekutana na habari kuwa chuo cha taifa cha usafirishaji karibuni kitaanza kutoa kozi za urubani.
Huu ni ujinga. Wanatoa Marubani ili wakaendeshe ndege zipi???. Kama mtu anataka frustrations za maisha aende akasome huo urubani. Maana akitoka huko ataenda kuendesha ndege ya shangazi yake, kama shangazi yake hana ndege ya kumpa aendeshe amekwisha.
Huu ni ujinga. Wanatoa Marubani ili wakaendeshe ndege zipi???. Kama mtu anataka frustrations za maisha aende akasome huo urubani. Maana akitoka huko ataenda kuendesha ndege ya shangazi yake, kama shangazi yake hana ndege ya kumpa aendeshe amekwisha.