Na hapa je?

Na hapa je?

Sharo hiphop

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
660
Reaction score
104
Hi! Jamani inasemekana kuwa % kubwa ya wanaohudhuria kwa sangoma kuhusu suala la mapenzi ni wanawake, SASA,,,, sababu inayomfanya mwanawake kwenda kwa waganga wa kienyeji ni nini? Je,
1. Hajiamini kwamba ana uwezo wa kumdatisha mumewe akadata?
2. Ni wivu? Kwamba hataki asalimiane hata na majirani?
3. Na wenyewe wanataka kuonekana ni wababe mbele ya wanaume zao?
4. Ni ujinga?
5. Ni kuigana?



Mezaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
 
Hi! Jamani inasemekana kuwa % kubwa ya wanaohudhuria kwa sangoma kuhusu suala la mapenzi ni wanawake, SASA,,,, sababu inayomfanya mwanawake kwenda kwa waganga wa kienyeji ni nini? Je,
1. Hajiamini kwamba ana uwezo wa kumdatisha mumewe akadata?
2. Ni wivu? Kwamba hataki asalimiane hata na majirani?
3. Na wenyewe wanataka kuonekana ni wababe mbele ya wanaume zao?
4. Ni ujinga?
5. Ni kuigana?


Mezaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!


Sharobaro majibu umetoa mwenyewe hapo... kwa wale wanaoenda majibu ni all the above....
 
Hi! Jamani inasemekana kuwa % kubwa ya wanaohudhuria kwa sangoma kuhusu suala la mapenzi ni wanawake, SASA,,,, sababu inayomfanya mwanawake kwenda kwa waganga wa kienyeji ni nini? Je,
1. Hajiamini kwamba ana uwezo wa kumdatisha mumewe akadata?
2. Ni wivu? Kwamba hataki asalimiane hata na majirani?
3. Na wenyewe wanataka kuonekana ni wababe mbele ya wanaume zao?
4. Ni ujinga?
5. Ni kuigana?



Mezaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!

imani za kijinga na kuiga!
 
Mhhhhh hata sijui sana

Lakin najua mapenzi ya dawa si mapenzi na yaweza kuwa ya muda mfupi tu,...Kuna raha yake kujua mtu anakupenda ki ukweli na si anakupenda kwa kuwa umemtengeza akupende.

Mi nadhan hiyo #4 ndo sababu kubwa..
 
Back
Top Bottom