GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hivi angekuwa mzuri hivyo angekuja Tanzania ambapo tunajua Ligi Kuu yetu ni full Mix by Yass, Mpesa na Airtel Money?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So wengine wote waliopo ni wabayaHivi angekuwa mzuri hivyo angekuja Tanzania ambapo tunajua Ligi Kuu yetu ni full Mix by Yass, Mpesa na Airtel Money?
Jonathan Sowah atakuwa mzigo Simba ni kweli.Hivi angekuwa mzuri hivyo angekuja Tanzania ambapo tunajua Ligi Kuu yetu ni full Mix by Yass, Mpesa na Airtel Money?
Au wisam Ben YedderUmezingua babaaa, kwahiyo waliopo sio bora?, au ulitaka asajiriwe wessam abou ally, au emam ashour? Alexander isak?
Jiulize hili swali ni nani katika striking force ya Simba anafikia hata nusu ya Sowah.?Hivi angekuwa mzuri hivyo angekuja Tanzania ambapo tunajua Ligi Kuu yetu ni full Mix by Yass, Mpesa na Airtel Money?
AtebaJiulize hili swali ni nani katika striking force ya Simba anafikia hata nusu ya Sowah.?
Otherwise ni chuki na woga tu.
Kama kuja Tanzania inamaanisha yeye mbovu,basii wachezaji wote wa ligi hii ni wabovu kwa hiyo usiwashauri simba chochote maana kwa mujibu wako hata wakaja Vinicious Jr na lamine Yamal nao watakuwa wabovu tuHivi angekuwa mzuri hivyo angekuja Tanzania ambapo tunajua Ligi Kuu yetu ni full Mix by Yass, Mpesa na Airtel Money?