Na hii ndio hali halisi!

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,203
Reaction score
37,906
Mpiga Picha; Mwalimu Mkuu Nitakuchaji Kila Mwanafunzi Sh. 500 Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mwalimu Mkuu: Mwalimu Waambie Wanafunzi Walete Sh, 1000 Kila Mmoja Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mwalimu: Wanafunzi Mnatakiwa Mlete Sh 2000 Kila Mmoja Kwa Ajili Ya Paspot Size.

Kila Mwanafunzi Nyumbani Kwao: Mama Tumeambiwa Tupeleke Sh 2500 Shuleni Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mama: Mme Wangu Mtoto Anataka Sh 3000 Kwa Ajili Ya Zile Picha Za Pasport Size Shuleni.

Unadhani Kwa Style Hiyo Ufisadi Utaisha??
Muwe Na Siku Njema.

Mi nimefanya CONTROL C na CONTROL V!
 
Talilalilaaaa ninayokupa ni hali halisiiiiiiiii
Talilalilaaa mimi na wanyalu tunavyoishiii
Umenikumbusha Wimbo wa Mike Tee Mnyalu ft Lady Jay Dee enzi hizo
 
Aisee, shughuli itakua pevu pale mtoto wa mpiga picha anayesoma hiyo shule (babaye alipochukua tenda) atakapojaribu kupiga cha juu.
 
Serikali ya awamu ya tano itahakikisha inakomesha suala hili
 
Hahahaha......ufisadi hautoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…