Na hii ndio tofauti ya ma MC wa uswazi na wa ushuani

Daaah!! Umenchekesha saana mkuu. [emoji1787][emoji1787]

Ndivyo ilivyo mkuu, kuna harusi ukienda nenda na na bajeti yako ya vinywaji kama hupendi kukatwa stimu.

Au kunywa kwanza nje, ndani ingia kwa ajiri ya kula tu.

Huchelewi kuanza na kinywaji hiki, unashangaa kimeisha, mara badili kinywaji nk.
 
Aisee
 
Unajiita malaya unavaa chupi nyeusi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unajiita malaya hujawahi kufika Zanzibar.

Unajiita malaya kumbe hata kijora unaazima.

Piga kelele kwa Mc akeeeee weuweeeeeeeeee.
 
Unajiita malaya unavaa chupi nyeusi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unajiita malaya hujawahi kufika Zanzibar.

Unajiita malaya kumbe hata kijora unaazima.

Piga kelele kwa Mc akeeeee weuweeeeeeeeee.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Uswahilini kuna vituko sana
 

Naruhusiwa kucheka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ