Na hii ndio tofauti ya ma MC wa uswazi na wa ushuani

Na hii ndio tofauti ya ma MC wa uswazi na wa ushuani

Daaah!! Umenchekesha saana mkuu. [emoji1787][emoji1787]

Ndivyo ilivyo mkuu, kuna harusi ukienda nenda na na bajeti yako ya vinywaji kama hupendi kukatwa stimu.

Au kunywa kwanza nje, ndani ingia kwa ajiri ya kula tu.

Huchelewi kuanza na kinywaji hiki, unashangaa kimeisha, mara badili kinywaji nk.
 
MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Masaki,Oysterbay,Upanga na Mikocheni

>Karibuni wageni waalikwa kuna cocktails ipo pale kwa ajili yenu

>Mwenye gari namba DTA142 amepaki vibaya gari yake inaziba njia.

>Kamati ya chakula mjiandae

>Kwa heshima na taadhima naomba maharusi wetu msogee hightable.

MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Bonyokwa,Manzese,Mbagala,Keko na Buza.

>Mlizani haolewi na sasa kaolewa wenye visokolokwinyo mtakufa kwa vijaba vya roho[emoji3].

>Asiyetunza mchawi.

>Asiye na mwana,aeleke jiwe Bibi weweee[emoji23].

>Nyie mnaocheza karibu na waya ondokeni hapo msije mkazima muziki.

>Jamani msimrudie chakula mara mbili kuna wenzenu hawajala[emoji23]

Ongezea na yako!
Aisee
 
Unajiita Malaya wakati hujawahi iba Mume wa mtu..wajiita Malaya hujawahi vunja ndoa ya mtu...wajiita Malaya huna kitanda Wala dressingtable..

Mimi ndiyo mc kidawa a.k.a ndimu mkata shombo kiboko ya waazima mawig...[emoji23][emoji23]...nabaki heeh! Mambo yenyewe ndiyo yalivyo[emoji848]
Unajiita malaya unavaa chupi nyeusi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unajiita malaya hujawahi kufika Zanzibar.

Unajiita malaya kumbe hata kijora unaazima.

Piga kelele kwa Mc akeeeee weuweeeeeeeeee.
 
Unajiita malaya unavaa chupi nyeusi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unajiita malaya hujawahi kufika Zanzibar.

Unajiita malaya kumbe hata kijora unaazima.

Piga kelele kwa Mc akeeeee weuweeeeeeeeee.
😂😂😂😂😂Uswahilini kuna vituko sana
 
MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Masaki,Oysterbay,Upanga na Mikocheni

>Karibuni wageni waalikwa kuna cocktails ipo pale kwa ajili yenu

>Mwenye gari namba DTA142 amepaki vibaya gari yake inaziba njia.

>Kamati ya chakula mjiandae

>Kwa heshima na taadhima naomba maharusi wetu msogee hightable.

MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Bonyokwa,Manzese,Mbagala,Keko na Buza.

>Mlizani haolewi na sasa kaolewa wenye visokolokwinyo mtakufa kwa vijaba vya roho[emoji3].

>Asiyetunza mchawi.

>Asiye na mwana,aeleke jiwe Bibi weweee[emoji23].

>Nyie mnaocheza karibu na waya ondokeni hapo msije mkazima muziki.

>Jamani msimrudie chakula mara mbili kuna wenzenu hawajala[emoji23]

Ongezea na yako!

Naruhusiwa kucheka?
 
Back
Top Bottom