Hebu tuchukulie kwamba umeoa au umeolewa au pia uko kwenye mahusiano,halafu unamkuta mpenzi/mke/mumeo anajiridhisha kimapenzi mwenyewe,kwa wanaume wanasema kujichua kwa wanawake sikumbuki hii sijui inatamkwaje..Sasa ndo umemfuma anafanya haivyo,Je utachukia?Kama ni ndio kwanini?Atakua amekusaliti?Kama ni ndio,amekusaliti na nani?Kama hautachukia kwanini?
Hebu tuchukulie kwamba umeoa au umeolewa au pia uko kwenye mahusiano,halafu unamkuta mpenzi/mke/mumeo anajiridhisha kimapenzi mwenyewe,kwa wanaume wanasema kujichua kwa wanawake sikumbuki hii sijui inatamkwaje..Sasa ndo umemfuma anafanya haivyo,Je utachukia?Kama ni ndio kwanini?Atakua amekusaliti?Kama ni ndio,amekusaliti na nani?Kama hautachukia kwanini?
Ntafurahi na kumpa moyo kuwa siku nyingine akizidiwa wakati sipo asimpelekee mtu kimwaga mkojo chake bali ajichue kwa raha zake.
sitachukia....bali nitajiuliza wapi nimechemka......
kwa upole nitamuuliza shida ni nini......halafu tutajadili tatizo......