Na kweli Diamond na wengine mna damu ya kunguni

Heshima yako mkuu,,,, Endeleza kipaji cha kuwaza na kuwazua So great
 

Wapinzani wanapigania vitu ambavyo hata wao wenyewe si waumini wa vitu hivyo.......

Wanapambana na udikteta hali ya kuwa na wao ni madikteta wa matendo na maneno
 
Sio kila unalowaza wewe ulilazimishe kuwa sahihi na tuliheshimu

Unavyoona upuuzi mwenzio kuimba hiyo nyimbo ni sawa na yye na sie wengine tunavyoona unatokwa povu ba kuwa na chuki binafsi

Heshimu kwanza cha wenzio na chako kitakubaliwa OVER
 
Wapinzani wanapigania vitu ambavyo hata wao wenyewe si waumini wa vitu hivyo.......

Wanapambana na udikteta hali ya kuwa na wao ni madikteta wa matendo na maneno

Naona mkuu upo kikazi zaidi mana sio kwa kujibu huko kila post?,haya bana endelea
 
Naona mkuu upo kikazi zaidi mana sio kwa kujibu huko kila post?,haya bana endelea

Hapana ndugu ninachojaribu ni kuweka sawa kuwa watu waheshimu uhuru wa kutoa maoni kama ambavyo maoni yao wanapotaka yaheshimiwe......

Maoni ya msanii Diamond yamezusha mhemko kwa kuwa ni maoni yasiyopendeza masikioni mwa wengi....lakini yanabaki kuwa ni maoni yake kama ambavyo wengine wangetoa maoni yao.......kwanini maoni ya msanii Ney wa mitego yaliyojaa matusi na kejeli yashangiliwe...!!?? Ni kwa sababu msanii huyo ametoa maoni ambayo yanapendeza masikioni mwa wengi ingawa yana ukakasi.......
 
Kwa mtazamo wako Mange na Gwajima ni miungu!? Diamond katumia uhuru wake wala hajatukana mtu! Kinachotakiwa ni kuvumiliana na kukosoana kwa staha ndiyo utamaduni wetu watz!
 
DiMond kAchemka sAnAa..
 
Kwani ni lazima kuheshimu mawazo ya mtu???
People hear only what they want to hear.
 
Kweli kiongozi naunga mkono hoja
 

Naona kila uzi unamuhusu Makonda upo,hongera sana.
 
Haka Ka Dai kumbe kanafki sana
Kweli kila kitu hutokea kwa sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…