Na mahoni ya bodaboda yaondolewe

Na mahoni ya bodaboda yaondolewe

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468
Jeshi la polisi upande wa barabara wamezuia madereva wanaotumia taa za vimulimuli na ving'ora kwa magari yasiyostahili pamoja na kwa bodaboda. Ni hatua nzuri.

Bado kuna changamoto moja hasa upande wa bodaboda. Wengi wameweka honi ambazo zinaleta kelele na hofu njiani. Ukiwa mbele yake na ukaisikia ile honi unaweza kuhama njia. Sasa jeshi la polisi walitazame hili. Bodaboda zirudi katika asili yake ya honi.

Yani hata gari hazina hiyo mihoni ambayo imefungwa kwenye bodaboda.
 
Boda kaweka mafuta full tank amevaa kindala kinabembea

anakukwaruzia stendi miguuuni halafu yule kishadaaa, ukija

kwenye honi akikupgia unaweza hisi scania lipo nyuma,Mkimbize

kama utamdaka Boxer cc 150 iko full tank ikikupta kuipata ni Umuombee AJALI

otherwise n ukifunga macho kufungua kashatokea dodoma,wewe bado upo Dar
 
Boda kaweka mafuta full tank amevaa kindala kinabembea

anakukwaruzia stendi miguuuni halafu yule kishadaaa, ukija

kwenye honi akikupgia unaweza hisi scania lipo nyuma,Mkimbize

kama utamdaka Boxer cc 150 iko full tank ikikupta kuipata ni Umuombee AJALI

otherwise n ukifunga macho kufungua kashatokea dodoma,wewe bado upo Dar
Hahahaaaa... Unawajua sana. Leo nimeona jamaa wamepakizana hawana kofia na wako kwenye mataa. Sasa dereva akachomoa ufunguo huku pikipiki iko silencer akamkabidhi jamaa wa nyuma yake. Nikasema duh!
 
Hahahaaaa... Unawajua sana. Leo nimeona jamaa wamepakizana hawana kofia na wako kwenye mataa. Sasa dereva akachomoa ufunguo huku pikipiki iko silencer akamkabidhi jamaa wa nyuma yake. Nikasema duh!
wale ukijifanya unakimbilia kuchomoa Funguo Unajidanganya

kwanza wanatembe na funguo mbli mbli,ukichomoa fungo yake

ukimpa mgongo tuu ukapga hatua 5 atavyowasha atakuchorea duara

hapo Kumdaka ni mumkimbize na Ndege za anga sio huku ardhini tena...
 
wale ukijifanya unakimbilia kuchomoa Funguo Unajidanganya

kwanza wanatembe na funguo mbli mbli,ukichomoa fungo yake

ukimpa mgongo tuu ukapga hatua 5 atavyowasha atakuchorea duara

hapo Kumdaka ni mumkimbize na Ndege za anga sio huku ardhini tena...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] we jamaa kumbe unawajua vizuri Sana Kuna siku nilishangaa sehemu inayo takiwa uwe na speed isiozidi 50 na haurusiwi kuovertake na mbele Kuna rundo la traffic police huwezi amini walitupita na speed 100 na police waliwaangalia tu .
 
wale ukijifanya unakimbilia kuchomoa Funguo Unajidanganya

kwanza wanatembe na funguo mbli mbli,ukichomoa fungo yake

ukimpa mgongo tuu ukapga hatua 5 atavyowasha atakuchorea duara

hapo Kumdaka ni mumkimbize na Ndege za anga sio huku ardhini tena...
Jamaa alipochomoa funguo bodaboda bado ilikiwa on
 
Piki piki hukatatwa kwa makosa yake sio makosa ya barabarani, kama mwendo kasi , amevuka wakati taa imezuiya, cjui amechomeka kwa mbele hayo sio makosa ya kukamata piki piki,
Piki hukamatwa kwa kukusa bima,latra, hana kofia amepakiza mishikaki nk
 
Hao dawa yao wewe nunua gari yenye ngao ngumu akijipitisha unamwekea mbna atasema yote[emoji28][emoji28]

Kwanza hawanaga mchezo wakiona gari ina ngao[emoji28]
 
Boda kaweka mafuta full tank amevaa kindala kinabembea

anakukwaruzia stendi miguuuni halafu yule kishadaaa, ukija

kwenye honi akikupgia unaweza hisi scania lipo nyuma,Mkimbize

kama utamdaka Boxer cc 150 iko full tank ikikupta kuipata ni Umuombee AJALI

otherwise n ukifunga macho kufungua kashatokea dodoma,wewe bado upo Dar
Halafu hao jamaa huwa hawavai helmet wala koti. Ana ka tshirt tu. Sijui macho yao na vifua vyao vimeundwaje
 
Jeshi la polisi upande wa barabara wamezuia madereva wanaotumia taa za vimulimuli na ving'ora kwa magari yasiyostahili pamoja na kwa bodaboda. Ni hatua nzuri.

Bado kuna changamoto moja hasa upande wa bodaboda. Wengi wameweka honi ambazo zinaleta kelele na hofu njiani. Ukiwa mbele yake na ukaisikia ile honi unaweza kuhama njia. Sasa jeshi la polisi walitazame hili. Bodaboda zirudi katika asili yake ya honi.

Yani hata gari hazina hiyo mihoni ambayo imefungwa kwenye bodaboda.
Wajinga wanafunga honi za harrier zinakelele utafkiri gari kumbe Toyo Haojue
 
Halafu hao jamaa huwa hawavai helmet wala koti. Ana ka tshirt tu. Sijui macho yao na vifua vyao vimeundwaje
Alinipakiza 1 anaendesha hadi unajishkilia, machozi yananichurizika ila yeye hana helmet

na macho yake sioni hata akitoa machozi,wale raia nadhani n special case Huwezi waiga kama huna moyo wa spea.
 
Alinipakiza 1 anaendesha hadi unajishkilia, machozi yananichurizika ila yeye hana helmet

na macho yake sioni hata akitoa machozi,wale raia nadhani n special case Huwezi waiga kama huna moyo wa spea.
😂😂
 
hakuna sheria tanzania kama kuna sheria watanyooka mbona india kuna bodaboda na bajaji kuliko tanzania au indonesia mbona wanafuata sheria na hawana fujo. ila tz tu sababu hakuna sheria kabisa
 
Mi naomba wapige marufuku zile zinazopiga kelele kupita kiasi. Ikipita hapa hamsikilizani kabisa. Na inawaachia msongo.
 
Boda kaweka mafuta full tank amevaa kindala kinabembea

anakukwaruzia stendi miguuuni halafu yule kishadaaa, ukija

kwenye honi akikupgia unaweza hisi scania lipo nyuma,Mkimbize

kama utamdaka Boxer cc 150 iko full tank ikikupta kuipata ni Umuombee AJALI

otherwise n ukifunga macho kufungua kashatokea dodoma,wewe bado upo Dar
Hongera bodaboda
 
hakuna sheria tanzania kama kuna sheria watanyooka mbona india kuna bodaboda na bajaji kuliko tanzania au indonesia mbona wanafuata sheria na hawana fujo. ila tz tu sababu hakuna sheria kabisa
kama ulishawahi sikia kuhusu noise pollution basi ni India. Bado hawajastaarabika
 
Jeshi la polisi upande wa barabara wamezuia madereva wanaotumia taa za vimulimuli na ving'ora kwa magari yasiyostahili pamoja na kwa bodaboda. Ni hatua nzuri.

Bado kuna changamoto moja hasa upande wa bodaboda. Wengi wameweka honi ambazo zinaleta kelele na hofu njiani. Ukiwa mbele yake na ukaisikia ile honi unaweza kuhama njia. Sasa jeshi la polisi walitazame hili. Bodaboda zirudi katika asili yake ya honi.

Yani hata gari hazina hiyo mihoni ambayo imefungwa kwenye bodaboda.
Hivyo vimulimuli vingezuiwa huko madukani vinakouzwa
 
Back
Top Bottom