Na mama mkwe naye anataka!

mh kaka, hii ni soo ndg yangu
na pia ni laana kubwa katu asimkubalie na pia ajiepushe kukaa karibu naye au ktk mazingira ya kukaa pamoja ndo ataweza epuka mtihan huo, vinginevyo akijiisahau akajifanya msamaria mwema anaweza mtia mama mkwe mimba ikawa ni fedheha na aibu kubwa, kwa kuwa umeamua kutubia awe na msimamo wa kutorudia tena na pia aache kumtembelea huyo shemeji yake.
 
Mpe machine tu hata tiGo mjiexpress tu, dunia yenyewe imekwisha hii!

Hiyo siyo faida ni hasara tuuuuuuu.
huyo mama wa kumfukuza na asikanyage tena hapo kwa home yako.
Hata kama atasema hilo alilotenda mshikaji powa ila mwambie aseme kuwa naye anaitaka dudu proffffffffff
 
Huo mtego uruke mzee. Afanye atakacho lakini usiguse kabisa.

Hapo ndipo nipe maujanaja afanye nini kwa mfano ili asile mama mkwe na mama mkwe asiuze habari ya shemeji?
 
Si amrudishe ma mkwe nyumbani ili aepuke hayo majaribu. na kama huyo ma mkwe anampa vitisho kwamba atamwambia mkewe sawa. Ni bora mkewe aambiwe kuliko afanye hivyo. Na anaweza kukataa kwamba ana uhusiano na shemejie ila akajitetea kwamba ma mkwe kamtaka akamkatalia ndio akamzushia hilo jambo
 
Laana laana....aachane na hayo mambo kabisa...kama ameshatubu....akatae kabisa maana dawa dhambi ni kuikataa si kuiendeleza kwa mitego kama hiyo>>>>
 
Laana laana....aachane na hayo mambo kabisa...kama ameshatubu....akatae kabisa maana dawa dhambi ni kuikataa si kuiendeleza kwa mitego kama hiyo>>>>

Ni kwamba jamaa hataki kabisa ila maisha ya mkewe yapo at steak hapa, amgombanishe na mama yake ambaye anampenda sana au amfurahishe mkwewe ili afunge kalomo.
 
bana mwambie ampige mkwara mama mkwe kwamba hambabaishi wala nini, ameshamwambia mke wake na wameshamaliza. au ka vp ampige mkwara kwamba na yeye ameshamsemea mama mkwe kwa mke wake na kuna mtego mke wake kaweka kuwanasa endapo watabanjuana. hapo lazima aogope, then amsafirishe kama kipaseli kwake tanga, kwishney.
 
huyo mama ni mchawi. kwa kawaida wachawi hufanya mambo ya ajabu ili kurutubisha uchawi wao. ukijaribu tu kijana utalaaniwa, na utalipa garama. hakuna hata haja ya kuomba ushauri. pili kwa nyie mnaomwambia afanye, mnasapoti dhambi, kuna wengi humu watafanya hivyo na damu zao siku ya hukumu zitadaiwa mikononi mwenu watakapoenda jehanam. Mungu na awasaidie.
 
Asithubutu kufanya hicho kitu na mama mkwe akimtishia zaidi amdanganye kuwa mkewe alijua UHUSIANO WAO na mdogo wake na alimuomba radhi yakaisha na kuwa akiendelea amtishie kuwa atamwambia mkewe,kwakuwa anaongopa ili kulinda ndoa yake na kutomuudhi muumba mungu atamsaidia, huyo mama ni fisadi! hifai hata kuendelea kuwa nae hapo nyumbani na kama ana mumme aambiwe kuwa na mume wake atajulishwa.
 
Ila mama mkwe yupo determined kabisa na mara kadhaa amekwisha mfuata bafuni uchi...Ushauri please!!!!

Bafu halina mlango nini?, nadhani huyo Mama Mkwe ana matatizo ya akili. Muhimu kumpeleka Mirembe. Lakini vyovyote iwavyo hilo suala ni aibu kubwa si kwa huyo Mama tu, hata kwa jamaa yako, manake inaonekana haridhiki mpaka kula shemeji yake. Dawa aende angaza, akirudi amuoneshe awe na mawazo kibao, then Mama mkwe atamuuliza vipi?, amwambie nimeathirika, aone kama Mama Mkwe hatapoa. Kama hata hapo atahitaji, awahishwe Mirembe huyo.
 

Du mkuu ataanza vipi kumpeleka mkwe wake mirembe wakati hata yeye alipata tamaa akatembea na shemeji yake? Hilo la kujifanya ana ngoma linaweza kusababisha mtafaruku mpya, mkewe akiulizwa na mama yake unadhani amani itakuwepo ndani ya nyumba? Hivi kwani hili la kutembea mkwe wake likifanikiwa kufanyika kwa siri soo si linaweza kuisha?after all huyo si mama yake.
 
Ndugu Burn huyo jamaa yako kesha tafuna vifaranga viwili dugu moja na kumfata shemejie Chuo ili aendelee kutafuna,nahisi muda huu tunalumbana hapa jamaa atakuwa amesha mla kuku mama wa vifaranga.
 
Huyo jamaa yako ni mharibifu kupindukia anaetumia vijisenti uchwara kuchafua familia nzima na hamna tena ndoa hapo,umenikumbusha miaka mingi iliopita niliwakuta mama mmoja na msichana wakipigana katikati ya barabara nilipoulizia nikaambiwa ni mama na mwanae na huyo mama kamchukulia mwanae mchumba waliokua waowane baada ya wiki tatu na maandalizi yote yalifanyika.Nilipouliza mbona hamuamui wakasema wanataka huyo mama afundishwe adabu.
 
Yaani watu wengine wa ajabu sana kama uhuni fanya nje tena mbali,uhuni unafanyia nyumbani kwako na shemeji na mama mkwe?
 
Yaani watu wengine wa ajabu sana kama uhuni fanya nje tena mbali,uhuni unafanyia nyumbani kwako na shemeji na mama mkwe?

Huo si uhuni ni huduma tu kama atakavyofanyia mbali, sasa tetra D wakijilengesha mshikaji ulitaka afanye vipi? nafikiri angewapa kubwa wote walidhike!
 

nimeipenda sana hii.......kweli hapo naunga mkono hoja
 
Ndugu yangu...
Utahalilisha haramu kwa namna hii? HAPANA! HARAMU NI HARAMU TU.
Hebu mfikirie yule mama yako aliyekuzaa halafu pata picha kuwa huyu naye ni mama..... bado utatafuta kuhalalisha?

Dadaangu ndio huyu ni mamam ila ata mkewe si mama pia, wote wana watoto hivyo hoja yako bado haina nguvu, mwache ale vitu....
 
Ndugu Burn huyo jamaa yako kesha tafuna vifaranga viwili dugu moja na kumfata shemejie Chuo ili aendelee kutafuna,nahisi muda huu tunalumbana hapa jamaa atakuwa amesha mla kuku mama wa vifaranga.
khee DDD umefika huku
 
Huyo jamaa yako kama angekuwa hataki kuhatarisha ndoa yake asingemla uroda shemeji yake, Kilichobaki amweleze mkewe ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…