Na mama mkwe naye anataka!

Na mama mkwe naye anataka!

Du mkuu ataanza vipi kumpeleka mkwe wake mirembe wakati hata yeye alipata tamaa akatembea na shemeji yake? Hilo la kujifanya ana ngoma linaweza kusababisha mtafaruku mpya, mkewe akiulizwa na mama yake unadhani amani itakuwepo ndani ya nyumba? Hivi kwani hili la kutembea mkwe wake likifanikiwa kufanyika kwa siri soo si linaweza kuisha?after all huyo si mama yake.
mkeo akilala na babako ,utaridhika ukijua?
 
Tuliza ukware babawe.... tabia mbaya sana hiyo!
 
mkeo akilala na babako ,utaridhika ukijua?

kwani kama usiporidhika ndio unaweza ku undo? kuridhika au kutoridhika kunabadilisha ukweli kuwa baba yako kalala na mkeo?
 
Age is nothing; just a number: Mkimuona nguruwe mzee ujue amekwepa mikuki mingi: Experience is accumulation of errors. Aidha nyamaume hazitafuti matatizo lakini hazikimbii matatizo bali huyatatua. Achana na wanaodai mamamkwe haramu, mradi tu awe analipa na makunyanzi hayajashika kasi.

Naamini huyo kokoo wa kitanga bado ana yale mahaba ya kikale ya Tanga, ana ujuzi mwingi wa namna ya kumliwaza mwanaume; kwanini usijaribu kupata ladha tofauti, Plz experience the difference. Mwanangu mpe mashine, ndio mashine aina ya Lister Pietter. Kaka nani kakwambia mama mkwe dhambi? Maisha yenyewe mafupi; kula raha bro.

Kaka pia atakubali kucheza MDAKO, kaka mpeleke hadi chumba kinukie samadi.
Nakutakia mafanikio mwema ktk kulamba k**a iliyoingiliwa na m**o anuani kwa miaka mingi nyuma, ikapitisha vichwa kadhaa na amini bado ni MNATO kama ndio inafunguliwa ktk box na makaratasi.

TCHAO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Age is nothing; just a number: Mkimuona nguruwe mzee ujue amekwepa mikuki mingi: Experience is accumulation of errors. Aidha nyamaume hazitafuti matatizo lakini hazikimbii matatizo bali huyatatua. Achana na wanaodai mamamkwe haramu, mradi tu awe analipa na makunyanzi hayajashika kasi.

Naamini huyo kokoo wa kitanga bado ana yale mahaba ya kikale ya Tanga, ana ujuzi mwingi wa namna ya kumliwaza mwanaume; kwanini usijaribu kupata ladha tofauti, Plz experience the difference. Mwanangu mpe mashine, ndio mashine aina ya Lister Pietter. Kaka nani kakwambia mama mkwe dhambi? Maisha yenyewe mafupi; kula raha bro.

Kaka pia atakubali kucheza MDAKO, kaka mpeleke hadi chumba kinukie samadi.
Nakutakia mafanikio mwema ktk kulamba k**a iliyoingiliwa na m**o anuani kwa miaka mingi nyuma, ikapitisha vichwa kadhaa na amini bado ni MNATO kama ndio inafunguliwa ktk box na makaratasi.

TCHAO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mmmmmhhh!!!
Mama yangu
Ama kweli wewe Bazazi
 
Mimi ninachoweza kusema hapa ni kwamba hili jambo lisifanywe na huyu kijana maana kwa hali ilivyo anawajengea laaana watoto wake hao aliowazaa na mkewe. Nasema hivyo kwa sababu kutembea na Mama Mkwe kwa Mila nyingi za Kitanzania nadhani hta ya huyo kijana ni sawa kabisa na kulala na Mama yake mzazi. Hii ni kutokana na ukweli kuwa huwa tunawaita mama wakwe zetu Mama. Mfano utamwambia Shikamoo Mama na wala siyo shikamoo Mama Mkwe.
Sasa kama huyu kijana anajua Mama mkwe wake ni sawa na Mama yake halafu bado akalala naye kwa maana ya kufanya mapenzi basi atakuwa siyo amejenga laana juu yake tu bali hata kwa kizazi chake chote. Na hii iko ndani ya vitabu vya dini kabisa na wala sio blah blah zisizokuwa na maana.
Na ukweli ni kwamba huyu mama hawezi kumwambia binti yake (mke wa huyo kijana) kuwa mumewe alilala na mdogo wake. Ni kitu hakiwezekani hata kidogo labda huyo Mama awe mwendawazimu ambaye hata akilala naye bado atasema tu.
LAbda tumuulize huyo jamaa hivi ni kipi afdahali mkewe agundue kuwa alilala na mdogo wake au agundue kuwa alilala na Mama yake mzazi? Obvious hakuna hata moja jema lakini kutembea na huyu Mama inakuwa imedoublize makosa

Mwisho huyu jamaa aache kusema kuwa anaipenda ndoa yake kama kweli anaipenda ndoa yake kwanini atembee na shemeji yake.? Aaacche kutudanganya wanaJF bwana tuna akili zetu timamu

Nawasilisha
 
Hakuna shida kuuliza mh. Nakupa link ya full chapter: [URL="http://www.biblegateway.com[/URL]

Aise umenibariki sana! have been dying for this kind of a link! I am so happy🙂 !
 
Mambo magumu. Mama mwenyewe analipa? Unajua bwana kila mtu ana akili yake,jamaa mpaka kaleta jamvini anaonyesha anataka kula kwani kama aliweza kula shemeji,anashindwaje kumla mama mkwe?
Mwanangu kula tu kama analipa.
 
Vp jamaa amesha mega tayari au naona sioni feedback mzeeya.

Mpwa una hatari weye, jamaa nilimfikishia ushauri wenu wakulu, ofcoz sikuwataja nilijifanya ni busara zangu hivyo hakumega. Kuna mkulu mmoja alisema ni bora akatafuta njia amueleze mke wake kuwa alitereza akala shemeji yake ili asamehewe.
 
............ushauri wangu ni kuwa kama jama yako ametubu kwa dhati, amwambie mama mkwe wake, NO, na amwambie mkewe habari yote na vile mama mkwe wake anavyomtendea. ...Tanga kuna tumambo!!
 
Naona laana inamtambalia ktk angle ya kona hivi.
Asikubali kufunua uchi wa mama mkwe asilani maana hiyo ndo laana kuliko kujiexpress
 
Back
Top Bottom