Na mama mkwe naye anataka!

Naona laana inamtambalia ktk angle ya kona hivi.
Asikubali kufunua uchi wa mama mkwe asilani maana hiyo ndo laana kuliko kujiexpress

Tafadhali mkuu nani kasema hayo!
 
hayo ni majaribu makubwa sana. hakika huyo mama ni shetani. Mtangulize mola akunusuru na majaribu hayo.
 
Mpwa una hatari weye, jamaa nilimfikishia ushauri wenu wakulu, ofcoz sikuwataja nilijifanya ni busara zangu hivyo hakumega. Kuna mkulu mmoja alisema ni bora akatafuta njia amueleze mke wake kuwa alitereza akala shemeji yake ili asamehewe.

Huyo zuga tuu lazima kashasafisha .....
 
Mkuu, hiyo noma sana, ukiweza jirushe tu kama inalika sio haramu.
 
kama jamaa anaipenda ndoa yake amwondoe mama mkwe hapo kwake. pia aungame hiyo dhambi kwa mkewe na aitubu, hapo ndiyo atapata ujasili wa kumkana huyo mama.lakini kujifanya unapenda ndoa kwa maneno haisaidiii, asipoangalia atakosa huyo mke na familia yote ikayumba, huyo mkwe ni hatari
 
hATA PATA CHOCHOTE ZAIDI ATAJIDHALILISHA, JIMAMA ZEE, LENYE MAKUNYANZI KUANZIA MAPAJANI MPAKA KTK MAKALIO LIAKUSAIDIA NINI? MMMMH LAKINI WAHENGA WALISEMA NGOME HAZEEEKI MAINI!
 
Mpe machine tu hata tiGo mjiexpress tu, dunia yenyewe imekwisha hii!
Mmmhh!Hata tiGO-nooo afadhali atumie mitandao mingine mzee.Kama ni kweli hoa watu inaonyesha huwa wanasimuliana!
 
.. Jamaa yako ana Laana....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Usije kushangaa akiwarudi na watoto wake.
 
Jamaa nanonyesha anataka,kama aliweza kumla mdogo mtu kwa nini anafeel guilty kumla mama mtu?
 
Amweleze mkewe kilichotokea siku mamamkwe alipowakuta Atumie hekima sana katika jambo hili vinginevyo mama mkwe ataendelea kumtesa. Hasa kama ana Mvuto!!!
 
Mi nadhani hoyo Mama mkwe hilo pepo limtoke.Halafu jamaa naona haonyeshe msimamo asijirahisi.Pia ni wakati wake kutubu kiukweli kama anahitaji kulilinda penzi lake kwa mkewe
 
jamaa amtimue mama mkwe ili asiharibu zaidi no way

kama anampenda mkewe awe tayari kukabiliana na hili linalokuja
mama mkwe atatoboa siri
wanaume lol kila kitu mnataka
 
Fukuza wote mama mkwe na shemejio, maana wanaonekana ma opportunist wenye tabia za kishenzi hawawezi hata kujiheshimu, what kind of a parent is that?
 
Kwa kweli hawa viumbe wa kiume wanafanya mengi, can you imagine huyo mkewe yuko gizani hajui nini kinaendelea maskini. Halafu hizi tabia za kina mama kushindwa kukuaa makwao kucha kwa watoto wao walio olewa ni mbaya sana. Ndo chanzo cha matatizo yasioleweka haya, hata mashemeji sijui, dada yenu akiolewa mpeni nafasi akae na mumewe wajenge familia, kama vishawishi vitokee pengine siyo ndani ya familia jamani.
 
Labda ni dawa aliyoitaka siku nyingi kwa ugonjwa wake? Mpe huenda akapona. Kama kosa lilifanyika kwa shemeji sio kwamba ukoo mzima uwashibishe wewe tu. Lakini kama wanaona wewe ni mwarubaini kwa matatizo yao wape wanywe, lakini mmiliki wa mwarubaini huo ni mkeo ambaye lazima aheshimike kwanza. Heshima haijakaa katikati ya miguu.

Leka
 
piga mama mkwe bwana acha uwoga.toka umetuuliza hapa jamvini tukajua tayari kumbe bado unakuna nazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…