Guyana Halima
Member
- Feb 23, 2009
- 78
- 1
1. Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi??
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake??
3. Kama tunatakiwa tusi drive wakati tumekunywa kwanini bar kuna parking??
4. Kama neno "abbreviation" linamaanisha ufupisho kwanini lenyewe ni refu hivyo??
Majibu mpe mwenzako!!!!
1. Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi??
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake??
3. Kama tunatakiwa tusi drive wakati tumekunywa kwanini bar kuna parking??
4. Kama neno "abbreviation" linamaanisha ufupisho kwanini lenyewe ni refu hivyo??
Majibu mpe mwenzako!!!!
Nikujibu la pili na wewe ndo mwenzangu wa kujibu
kwa sababu chupa ya gundi ni ya plastic na plastic materials hazishiki gundi kabisa
Wewe ni mwarabu? kama ndiyo haya majibu unayo