Guyana Halima
Member
- Feb 23, 2009
- 78
- 1
1. Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi??
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake??
3. Kama tunatakiwa tusi drive wakati tumekunywa kwanini bar kuna parking??
4. Kama neno "abbreviation" linamaanisha ufupisho kwanini lenyewe ni refu hivyo??
Majibu mpe mwenzako!!!!
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake??
3. Kama tunatakiwa tusi drive wakati tumekunywa kwanini bar kuna parking??
4. Kama neno "abbreviation" linamaanisha ufupisho kwanini lenyewe ni refu hivyo??
Majibu mpe mwenzako!!!!