Na mie nahitaji kuolewa!!!

Aaaaamen! Na mie nitakupenda siku zote za maisha yetu!

Kuna muda hata njaa inapotea hasa ukipata maneno kama haya toka kwa mume tena sio ndoa changa bali iliyoanza kukomaa
 
Aombaye hupewa kuwa na subra. had mwaka uishe utampata chaguo lako
 
Aombaye hupewa kuwa na subra. had mwaka uishe utampata chaguo lako

yaani watu kama nyie nimegundua wanaume wana ugwadu sana Vin Diesel mijitu inakuja pm serious serious eti
 
Last edited by a moderator:
yaani watu kama nyie nimegundua wanaume wana ugwadu sana Vin Diesel mijitu inakuja pm serious serious eti

Hahaha...kila siku nasema watu wafanyiwe induction kozi wakijiunga JF.....Raia wameona figure ya Omotola bendera zikasimama dede....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…