Na mim natafuta mukazi wange SERIOUS….

Na mim natafuta mukazi wange SERIOUS….

Bby siwaoni,siskii,wala siambiwi nabaeleza swty hapaelewi achana nao
we jifanyi kama huwaoni...................... Ie sirudi nyuma.................. Usisahau till death do us part.............. Eeeh, sawa????????????//// halafu baelezeeeee........
 
Tupe CV yako kamili. Kujitangaza mwanaume halisi haitoshi. Kutili kabati ya mbeho? Kutili Double Cabin? Kutili Kihamba?
 
Kila la heri.Wewe umenifurahisha kwa kutokuwa na mavigezo ya kutisha,i hate watu wanaotoa mavigezo.Goodluck
 
wagomabanao................
AK bana........
lol! ndo hawahawa mpaka na kuomba sijui kusali tukaomba na kusali sahizi yamekuwa haya?mie na ulokole tena basi napiga sala ingine(;eeh mungu baba unisamehe mimi mja wako kuingilia mambo ya mapenzi ya watu nisipotakiwa,sasa wenyewe wamesameheana mimi nabaki macho juu,nilikua nadhani nikimuunga mkono pearl japo atanionea huruma anipe mimi,lakini ndio mmh kaangukia kwa mbaya wake AK 47sasa ndio nimeamini ushauri wa ustaadh ubwabwa alisema"ubwabwa wapikwa kwa jirani weye waununulia ndizi"nakiri makosa yangu kuanzia sasa sitanunua ndizi kwa ubwabwa wa jirani a.k.a.kudandia mada kwa mbere😉can somebody say ameeeen!
 
Ameeeeeeeeeeeeeen
lol! ndo hawahawa mpaka na kuomba sijui kusali tukaomba na kusali sahizi yamekuwa haya?mie na ulokole tena basi napiga sala ingine(;eeh mungu baba unisamehe mimi mja wako kuingilia mambo ya mapenzi ya watu nisipotakiwa,sasa wenyewe wamesameheana mimi nabaki macho juu,nilikua nadhani nikimuunga mkono pearl japo atanionea huruma anipe mimi,lakini ndio mmh kaangukia kwa mbaya wake AK 47sasa ndio nimeamini ushauri wa ustaadh ubwabwa alisema"ubwabwa wapikwa kwa jirani weye waununulia ndizi"nakiri makosa yangu kuanzia sasa sitanunua ndizi kwa ubwabwa wa jirani a.k.a.kudandia mada kwa mbere😉can somebody say ameeeen!
 
Binamu mie ninao wengi wako tu nje wanarandaranda, swali linakuja utaweza kumkibiza na kumkamata mwenyewe ha ha ha ha

haha hapo ustie shaka mi mbio zangu kama Husain Bolt, so nikimkamata namtafuna free of charge sio binamu ....
 
Back
Top Bottom