Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
hehehe!kalikuwa ka-wikiendi tu.....plus ugeni na upweke!enewei...CHEERS
Karibu binamu feel at home.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hehehe!kalikuwa ka-wikiendi tu.....plus ugeni na upweke!enewei...CHEERS
ningekunywa bia sawa ningemgongea na kumsalimia....!lakini valuu HAPANA!valuu inawafanya wanaume wafikirie MILA.sasa nigombane na dada-angu kisa pombe?....😀😀😀eeh G ebu msalimie mwenzako,jana culisema unywi sana?ulidhani chai eeh?nilikwambia mm baridi isikudanganye!
Haya binamu umeshinda u will have the kuku (her) for free. kaazi kweli kweli.
ningekunywa bia sawa ningemgongea na kumsalimia....!lakini valuu HAPANA!valuu inawafanya wanaume wafikirie MILA.sasa nigombane na dada-angu kisa pombe?....😀😀😀
naomba nisimsalimie kwa heshima yake
CHANA NYWELE WEWEEEEEEEEEEEEEEE!.......
halafu jana,dah!😀😀😀
Unapumzika binamu for a while alafu ndo unaanza kumla.here I come,,,, afu apo itakuwa free binamu wakati nimemkimbiza kijasho kikanitoka, si ajabu nikashindwa hata kumla (hashindwi mtu amen)
Unapumzika binamu for a while alafu ndo unaanza kumla.
Binamu iko njema, hali ya hewa safi kabisa.dah, ulijuaje? hii wikiendi naona iko njema sana....
Binamu iko njema, hali ya hewa safi kabisa.
Kila kitu kiko tayari binamu, waiting for u na kuku wote wako nje.vipi umeshatayarisha kabisa vifaa vya kumtafunia binamu....lol
Kila kitu kiko tayari binamu, waiting for u na kuku wote wako nje.
Karibu binamu, nakutadharisha tena wana mbio hao, jiandae vizuri nenda gym kabisa uwe fit.ndo nakuja ivo,,,,,mi ntachagua apo mmoja tu wa kuanzia.....hahahaha mwenyewe utashangaa....afu ntavomchinja tartiib nazingatia haki za wanyama😀
Karibu binamu, nakutadharisha tena wana mbio hao, jiandae vizuri nenda gym kabisa uwe fit.
Binamu gym muhimu huwa nahudhuria mara kwa mara.Binamu umesahau nipo fiti 24/7, kuna watu wanahitajika gym lakini mi nipo fiti mazoezi ya kukimbia na yale mengine mambo mswano tu!😀
binamu kwani unaendaga gym na wewe?
Kila nikisoma, nasoma mengi zaidi ya ulichoandika apo....sasa sijui macho yangu ama akili yangu tu?
Kaizer pole sana, nilimaanisha Yametimia...!
Annina
mungu akusaidie umpate barafu wa moyo wako ila usisahau kutualika kula pilau.