BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Habari,
Nilipitia maumivu makali sasa nimepona na nimeamua kurudi kwenye game,
Nina 30 years old
Nina degree
Sijaariwa ila nimejiajiri(sipendi kuajiriwa)
Nina kipato cha kutosha watu wawili na zaidi,
Naemtafuta;
Mwanamke anaejielewa
Akiwa na diploma au zaidi itapendeza zaidi, kwangu kisomo sio kigezo, ila anaweza kujituma kibiashara nivyema
Awe attractive
Polite na mwenye busara, asiwe na roho mbaya, ila apende ndugu zangu, watoto, na awe mkarimu
Asiwe mchafu, mdomo wa mwendokasi, katili, ajipende kama mimi, yaani ajue kupika na kujisafisha, na kumpenda mume na awe na marengo, nitampenda na kumweshimu kama vile hajawai kupendwa.
Nawasilisha
Nilipitia maumivu makali sasa nimepona na nimeamua kurudi kwenye game,
Nina 30 years old
Nina degree
Sijaariwa ila nimejiajiri(sipendi kuajiriwa)
Nina kipato cha kutosha watu wawili na zaidi,
Naemtafuta;
Mwanamke anaejielewa
Akiwa na diploma au zaidi itapendeza zaidi, kwangu kisomo sio kigezo, ila anaweza kujituma kibiashara nivyema
Awe attractive
Polite na mwenye busara, asiwe na roho mbaya, ila apende ndugu zangu, watoto, na awe mkarimu
Asiwe mchafu, mdomo wa mwendokasi, katili, ajipende kama mimi, yaani ajue kupika na kujisafisha, na kumpenda mume na awe na marengo, nitampenda na kumweshimu kama vile hajawai kupendwa.
Nawasilisha