ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Nilianza kumfahamu wakati huo nakwenda sana alipokuwa akifanyia kazi ambapo nilikuwa nikitaka huduma za "Internet" akaanza kuniita kaka....
Baada ya kupoteana kwa muda, wakati fulani nilikutana nae akanijulisha "kaka naolewa karibuni" nikamwambia jambo la busara, nikampa mchango wa send- off.
Hatukuwahi kuonana tena kwa muda wa zaidi ya miezi kadhaa..
Hivi majuzi akanitumia, "heri ya mwaka mpya, ..yaaani sijui kwa nini nimekukumbuka"
Nikamjibu "nawe pia...Mambo ya Mungu, Mungu kakukumbusha, salamu Mzee bhana"
Akanirejeshea: "yaani ninyi wanaume balaa..sina raha kabisa na Ndoa yangu"
Nikauliza "kwa nini??"
Akanitumia: "Huyu mwanaume mwenzio kaanza vurugu..anarejea nyumbani usiku wa manane...na mimi sana nataka nimwaonyeshe kuwa mwanamke naweza ku- revenge, na mimi natafuta mtu wa kunipa raha ":
Nilitafakari sana nikaona, moyo unanisukuma niache kutuma ujumbe, yawezekana upande wa pili nawasiliana na mwanaume mwenzangu akinitega...baadae nikaamua kutwanga na akapokea huyo dada akanieleza meengi lakini kwa umakini mkbuwa nilimsihi aendelee kuwa mvumilivu kwani ndoa ni ndoano, kutoka nje ya ndoa kwa mwanamke sio suluhu ya mamatizo ya ndoa. Ilinichukua kama dakika ishirini hivi kueleweka akasema nitaangalia kaka.
Baada ya kumaliza maongezi hayo, akanitumia ujumbe mfupi: "Nashukuru sana kaka umenipa ushauri mzuri sasa najisikia amani ..nipo nakunywa wine..." nikamjibu: "Ndio suluhu...asante".
..akajibu: 'vipi wewe?...nikualike lini kwangu..."
Mh:....nikajibu "nitakujulisha''
Leo nimepokea ujumbe,ananiambaia " ..yaani kaka mambo yamekuwa makubwa sana . jamaa amenipiga sana usiku..sasa nifanyeje??"
Nilishindwa kujibu huo ujumbe...moyoni bado natafakari ni nini hii....??
Baada ya kupoteana kwa muda, wakati fulani nilikutana nae akanijulisha "kaka naolewa karibuni" nikamwambia jambo la busara, nikampa mchango wa send- off.
Hatukuwahi kuonana tena kwa muda wa zaidi ya miezi kadhaa..
Hivi majuzi akanitumia, "heri ya mwaka mpya, ..yaaani sijui kwa nini nimekukumbuka"
Nikamjibu "nawe pia...Mambo ya Mungu, Mungu kakukumbusha, salamu Mzee bhana"
Akanirejeshea: "yaani ninyi wanaume balaa..sina raha kabisa na Ndoa yangu"
Nikauliza "kwa nini??"
Akanitumia: "Huyu mwanaume mwenzio kaanza vurugu..anarejea nyumbani usiku wa manane...na mimi sana nataka nimwaonyeshe kuwa mwanamke naweza ku- revenge, na mimi natafuta mtu wa kunipa raha ":
Nilitafakari sana nikaona, moyo unanisukuma niache kutuma ujumbe, yawezekana upande wa pili nawasiliana na mwanaume mwenzangu akinitega...baadae nikaamua kutwanga na akapokea huyo dada akanieleza meengi lakini kwa umakini mkbuwa nilimsihi aendelee kuwa mvumilivu kwani ndoa ni ndoano, kutoka nje ya ndoa kwa mwanamke sio suluhu ya mamatizo ya ndoa. Ilinichukua kama dakika ishirini hivi kueleweka akasema nitaangalia kaka.
Baada ya kumaliza maongezi hayo, akanitumia ujumbe mfupi: "Nashukuru sana kaka umenipa ushauri mzuri sasa najisikia amani ..nipo nakunywa wine..." nikamjibu: "Ndio suluhu...asante".
..akajibu: 'vipi wewe?...nikualike lini kwangu..."
Mh:....nikajibu "nitakujulisha''
Leo nimepokea ujumbe,ananiambaia " ..yaani kaka mambo yamekuwa makubwa sana . jamaa amenipiga sana usiku..sasa nifanyeje??"
Nilishindwa kujibu huo ujumbe...moyoni bado natafakari ni nini hii....??