Na mimi nimenunua gari,ila haya mambo siyajui,msaada

Na mimi nimenunua gari,ila haya mambo siyajui,msaada

Wengi wameonesha kutokujua kazi ya hizo E.Light, lakini hata muvi za wenzetu wa Hollywood zinatumiwa tumiwa sana, mathalani; wanataka kuingia kwenye shimo lenye giza sana, utaona wanatoa hiyo kitu, wakiivuta inatoa huo mwanga mara nyingi mwekundu au kijani, wanaitupia chini na wanapata kuona huko waendako kunafananaje!

Nilijaribu tuu kudhani huwa hatujifunzi na hatupendi kudadisi.
 
SOS icho kuna kiberiti chake hapo jaribu Ku scratch then utapata matokeo
 
Angalia wasije wakawa wamekutegea bomu mkuu. Maana yard za warabu Ilala bhana...

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Nimepalangana hatimae na mimi leo nimenunua gari
Ila kuna kadude hapa kwenye seat ya mbele ya abiria kwa chini kana rangi nyekundu,ni nini? Kazi yake nini?
Naweka picha piaView attachment 579476

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaitwa "
flare.jpg
EMERGENCY FLARE "
unaweza google for more references
 
Mkuu kwaajili ya kuwasha usiku kama umepata shida kina mwanga mkali sana! Ila mara moja kikiwashwa huwezi washa tens.Lakini subiri waliobobea wanakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna cku ktk Kujaribu jaribu vitu kwenye magari ya kuazima nikajikuta nimekawasha bwana,.... Aloo nilihaha hapo kukazima Kwani kanazimika ss?.,, nilikachomeka hadi kwenye kifusi cha mchaga wa kujengea lkn kakagoma,ikabidi nitulie tu na kukatizama kakiwaka hadi mwisho ila hofu ikaniijia tena kuwa pale mwishoni kasije kakalipuka, lkn hakakulipuka, nikatupa likasha lake nakurudisha gari ya watu kimya kimya bila kusema kilichotokea, nahic mwenyewe alikuja jua kameibiwa, maskini ya Mungu lawama Zitapelekw car wash

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna cku ktk Kujaribu jaribu vitu kwenye magari ya kuazima nikajikuta nimekawasha bwana,.... Aloo nilihaha hapo kukazima Kwani kanazimika ss?.,, nilikachomeka hadi kwenye kifusi cha mchaga wa kujengea lkn kakagoma,ikabidi nitulie tu na kukatizama kakiwaka hadi mwisho ila hofu ikaniijia tena kuwa pale mwishoni kasije kakalipuka, lkn hakakulipuka, nikatupa likasha lake nakurudisha gari ya watu kimya kimya bila kusema kilichotokea, nahic mwenyewe alikuja jua kameibiwa, maskini ya Mungu lawama Zitapelekw car wash

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahhahahahahahahahaha
Duh!!!
 
humu kuna uzi watu walifunguka eti wamemiliki magari na nyumba wakiwa na miaka 20-29 leo hako kadubwasha kanawatoa jasho.

njooni mseme huku hako ka bwana ni ka nini? sio kudanganyana kwenye ule uzi.
 
hiyo ni koki ya kuwashia sigara kama unazikumbuka zile za kiko, pia hapo unaweza kuchomeka chaja ya kujaza upepo wa tairi kama una pump yako ya miguu, ni mahali ambapo umeme wa gari unaweza kutolewa nje kwenye input nyingine, kama nimekosea basi wengine watakupa mrejesho mana gari zinatofautiana
DUH!!!
 
hiyo ni koki ya kuwashia sigara kama unazikumbuka zile za kiko, pia hapo unaweza kuchomeka chaja ya kujaza upepo wa tairi kama una pump yako ya miguu, ni mahali ambapo umeme wa gari unaweza kutolewa nje kwenye input nyingine, kama nimekosea basi wengine watakupa mrejesho mana gari zinatofautiana

Kweli hawa ndio wanaifanya Bangi kuwa Haramu
 
Ndiyo matatizo ya kununua magari Second hand....

Japo si yote, lakini magari mengi yanakua na Manual Book....

Manual Book ni kijitabu chenye maelekezo ya kila accessory ya chombo ulichokinunua na kazi yake....

Kwa kifupi ukipata gari yenye manual book, walahi, unaweza kuwa mechanical engineer hata bila kupitia kwenye mechanic school...

Lakini hili ni exceptional kwa wenye vichwa vigumu na vya kipekee kama Bashite😀😀😀...
 
hiyo ni koki ya kuwashia sigara kama unazikumbuka zile za kiko, pia hapo unaweza kuchomeka chaja ya kujaza upepo wa tairi kama una pump yako ya miguu, ni mahali ambapo umeme wa gari unaweza kutolewa nje kwenye input nyingine, kama nimekosea basi wengine watakupa mrejesho mana gari zinatofautiana
Huu ni udanganyifu wa kupewa na risiti ya EFD khaaA
 
Back
Top Bottom