Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
NDOTO ISIOTAKIWA KABISA....
Kuwa hawa "mababu NA mabibi" waliooteshwa na Wanaooteshwa kila uchao "TIBA ZA MAGONJWA SUGU" IKO SIKU WATATOWEKA NA KUPOTELEA KUSIKOJULIKANA GHAFLA!!!
Kama walivyowahi kutoweka kina
Hitler,
Kibwetere,
Balali nk!!
Wadau mnaonaje hapo?
NDOTO ISIOTAKIWA KABISA....
Kuwa hawa "mababu NA mabibi" waliooteshwa na Wanaooteshwa kila uchao "TIBA ZA MAGONJWA SUGU" IKO SIKU WATATOWEKA NA KUPOTELEA KUSIKOJULIKANA GHAFLA!!!
Kama walivyowahi kutoweka kina
Hitler,
Kibwetere,
Balali nk!!
Wadau mnaonaje hapo?
Mm!NDOTO ISIOTAKIWA KABISA....
Kuwa hawa "mababu NA mabibi" waliooteshwa na Wanaooteshwa kila uchao "TIBA ZA MAGONJWA SUGU" IKO SIKU WATATOWEKA NA KUPOTELEA KUSIKOJULIKANA GHAFLA!!!
Kama walivyowahi kutoweka kina
Hitler,
Kibwetere,
Balali nk!!
Wadau mnaonaje hapo?
Mm!
Umeoteshwa nini?
Nlitaka nkusaidie kukutafsiria Ndoto yako.
Me mzima wa Afya! Vipi nawewe?Sory kwa off topic: Maalim hujambo wewe ule mpango vipi bado sana
Me mzima wa Afya! Vipi nawewe?
Mipango ninayo mingi DA.
which 1?
Yaani da Dena siyakuyaweka tena humu JF!Aahhh unataka niseme kila kitu ule mpango wa pilau bado???
Yaani da Dena siyakuyaweka tena humu JF!
Bibie alianza kunitumia .... Halafu akanambia anahitaji akaongeze KaDegree kwanza!
Sasa nataka nije humu humu niombe msaada nimfanyeje?
Hawa nao walioteshwa? Hivi walioteshwa nini vile tena, au walioteshwa migomba?
Bado nina mawazo nae!Yaani umenikata maini kabisa dah nilivyokuwa nasubiria!!!
Miaka mitatu sio mingi msubiri tu atakuja
NDOTO ISIOTAKIWA KABISA....
Kuwa hawa "mababu NA mabibi" waliooteshwa na Wanaooteshwa kila uchao "TIBA ZA MAGONJWA SUGU" IKO SIKU WATATOWEKA NA KUPOTELEA KUSIKOJULIKANA GHAFLA!!!
Kama walivyowahi kutoweka kina
Hitler,
Kibwetere,
Balali nk!!
Wadau mnaonaje hapo?