<br />heheeh dah nimecheka kwa laudi spika aisee! halaf mbona haujanialika futari bana? uchoyo haujengi ujue?
<br />
<br />
nataka nikualike daku aisee! Sa tisa uwe ushafika. Sawa mtoto mtundu eeh? Haya kaoge kabisa.
<br />hehehe daku ndo zuri, acha nikasoap soap! usje ukazima simu bana
Tafadhali acha kumzingua Husniyohehehe umeota unaolewa nini? naona leo unachangia jukwaa la love connect tu!
<br />Tafadhali acha kumzingua Husniyo