Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
List inahesabu ngapi now?[emoji23] [emoji23] bwana niache
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Yule ako na wengi anigawie kamoja tuu.
Hata sikumbukiList inahesabu ngapi now?
Haya ni matumizi mabaya ya rasilimali mwenza, hebu changamka kalist kaongezeke.Unatusingizia mwenza. Mimi nina wanaume wanne tu humu
Nyani Ngabu Saint Ivuga Daby na Kaboom sasa nakuaje na list kubwa hapo? Labda kama mnataka kunionelea tu
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Akikosa the Best 5 naacha kazi ya ukaguzi...
Unanikumbusha yule baba aliyekaribishwa aseme neno la kuagana na binti yake kwenye ile mnaita sendoff..( baba mtu akaanza " mwanangu nilikuonya uachane na Juma hujunisikia sasa umeolewa achana naye kabsaa maana atakuvunjia ndoa[emoji13] [emoji13] [emoji13] )Tuvumilie tu mwenza maana hata sisi sio wasafi, ila angalau kalist ketu sio karefu sana.
Binti yako simuelewi ..Mkwe unataka ugundue nini?
Patamu hapoo[emoji119] [emoji119]
Una undugu na Valentina?? kifaa kingineUnatusingizia mwenza. Mimi nina wanaume wanne tu humu
Nyani Ngabu Saint Ivuga Daby na Kaboom sasa nakuaje na list kubwa hapo? Labda kama mnataka kunionelea tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unanikumbushe yule baba aliyekaribishwa aseme neno la kuagana na binti yake kwenye ile mnaita sendoff..( baba mtu akaanza " mwanangu nilikuonya uachane na Juma hujunisikia sasa umeolewa achana naye kabsaa maana atakuvunjia ndoa[emoji13] [emoji13] [emoji13] )
Mie niliogopa kukwambia nikawaacha mjuane wenyewe maana nae ana kalist siku hizi, sijui hata nani kamroga!!!Binti yako simuelewi ..
Nimemkuta anamuita mtu mme kule mwanzoni mwa uzi.
Muwe makini na wazee wenye midomo[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo baba nae hafai, mambo gani sasa hayo!!
Niko porini mkwe..Mie niliogopa kukwambia nikawaacha mjuane wenyewe maana nae ana kalist siku hizi, sijui hata nani kamroga!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134] [emoji134]yeyote atakayetoka na wewe list inamuhusu...wewe ni indicator nzuri