Na nyie Mashabiki wa SIMBA SC, mnaenda kufanya nini uwanjani?

Na nyie Mashabiki wa SIMBA SC, mnaenda kufanya nini uwanjani?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Kiufupi mashabiki na nyie mnapenda stress za hovyo; look Yanga ni Timu bora kwa sasa na wapo serious kwamba wanataka kuachana na traditionnal football na hawana muda na political football.

SSC bado wanaamini kwenye political football na traditional ways of doing things , kwa staili hiyo, Yanga ataendelea kuitandika SSC as much as anajisikia.

Kwa mfano timu serious , unaamini utapata timu bora Huku Upo na Mohammed Hussein , Shomari🤣 hao watu wameitumikia SSC for the past 5 years hawana jipya tena hata wajitutumue vipi. Hussein ni uchochoro na kapombe ni uchochoro . Unapofanya reforms haipaswi kuangalia mtu usoni.

Wachezaji wa SSC bado hawana stamina na ile spirit ya kuutafuta moira. Kuna kitu Yanga wanacho , nadhan hii ni philosophe ya kocha, wachezaji wana spirit ya kupeleka mpira mbele na wana team work ya ajabu sana hawa Yanga.

Yanga ina wachezaji wakawaida tu , but team work yao ni ya ajabu sana Maa shaa Allah . SSC hawana spirit na hawana team work , ni hopeless team .

All in all , Sijapenda Yanga kumsajili Chama kwa maana hana maajabu na hatokuwa na maajabu kwa namna yoyote ile . . Bado anatembelea nyota yake ya zamani ila ninaamini chini ya Gamond, benchi litamuhusu.

SSC nyie kila siku mnaboresha timu, ni lini mtatuonesha matokeo ya investment ? . You are failure and hopeless as always

Sapoti yetu kwa sasa ni Yanga na Azam
 
Sema simba kuna usela mavi kapombe na shabalala hawawez kuofa kitu kipya tena let them go
 
Wao kila siku wanaunda timu dah sijui ni lini wataacha kuunda timu au ndio mpaka yesu arudi
 
Anaeweza kubaki na simba mpaka sasa ni zuchu tu
images (9).jpeg
 
Kiufupi mashabiki na nyie mnapenda stress za hovyo; look Yanga ni Timu bora kwa sasa na wapo serious kwamba wanataka kuachana na traditionnal football na hawana muda na political football.

SSC bado wanaamini kwenye political football na traditional ways of doing things , kwa staili hiyo, Yanga ataendelea kuitandika SSC as much as anajisikia.

Kwa mfano timu serious , unaamini utapata timu bora Huku Upo na Mohammed Hussein , Shomari🤣 hao watu wameitumikia SSC for the past 5 years hawana jipya tena hata wajitutumue vipi. Hussein ni uchochoro na kapombe ni uchochoro . Unapofanya reforms haipaswi kuangalia mtu usoni.

Wachezaji wa SSC bado hawana stamina na ile spirit ya kuutafuta moira. Kuna kitu Yanga wanacho , nadhan hii ni philosophe ya kocha, wachezaji wana spirit ya kupeleka mpira mbele na wana team work ya ajabu sana hawa Yanga.

Yanga ina wachezaji wakawaida tu , but team work yao ni ya ajabu sana Maa shaa Allah . SSC hawana spirit na hawana team work , ni hopeless team .

All in all , Sijapenda Yanga kumsajili Chama kwa maana hana maajabu na hatokuwa na maajabu kwa namna yoyote ile . . Bado anatembelea nyota yake ya zamani ila ninaamini chini ya Gamond, benchi litamuhusu.

SSC nyie kila siku mnaboresha timu, ni lini mtatuonesha matokeo ya investment ? . You are failure and hopeless as always

Sapoti yetu kwa sasa ni Yanga na Azam
Neno "Hopeless team" liondoe ndo tukisikilize.
 
Kiufupi mashabiki na nyie mnapenda stress za hovyo; look Yanga ni Timu bora kwa sasa na wapo serious kwamba wanataka kuachana na traditionnal football na hawana muda na political football.

SSC bado wanaamini kwenye political football na traditional ways of doing things , kwa staili hiyo, Yanga ataendelea kuitandika SSC as much as anajisikia.

Kwa mfano timu serious , unaamini utapata timu bora Huku Upo na Mohammed Hussein , Shomari🤣 hao watu wameitumikia SSC for the past 5 years hawana jipya tena hata wajitutumue vipi. Hussein ni uchochoro na kapombe ni uchochoro . Unapofanya reforms haipaswi kuangalia mtu usoni.

Wachezaji wa SSC bado hawana stamina na ile spirit ya kuutafuta moira. Kuna kitu Yanga wanacho , nadhan hii ni philosophe ya kocha, wachezaji wana spirit ya kupeleka mpira mbele na wana team work ya ajabu sana hawa Yanga.

Yanga ina wachezaji wakawaida tu , but team work yao ni ya ajabu sana Maa shaa Allah . SSC hawana spirit na hawana team work , ni hopeless team .

All in all , Sijapenda Yanga kumsajili Chama kwa maana hana maajabu na hatokuwa na maajabu kwa namna yoyote ile . . Bado anatembelea nyota yake ya zamani ila ninaamini chini ya Gamond, benchi litamuhusu.

SSC nyie kila siku mnaboresha timu, ni lini mtatuonesha matokeo ya investment ? . You are failure and hopeless as always

Sapoti yetu kwa sasa ni Yanga na Azam
Mnaanza kupangia watu jinsi ya kutumia hela Yao?
 
Ila bongo . Hiyo timu inayoimbwa ni bora Sana achievement yake ni NBC premier league.
 
Kiufupi mashabiki na nyie mnapenda stress za hovyo; look Yanga ni Timu bora kwa sasa na wapo serious kwamba wanataka kuachana na traditionnal football na hawana muda na political football.

SSC bado wanaamini kwenye political football na traditional ways of doing things , kwa staili hiyo, Yanga ataendelea kuitandika SSC as much as anajisikia.

Kwa mfano timu serious , unaamini utapata timu bora Huku Upo na Mohammed Hussein , Shomari🤣 hao watu wameitumikia SSC for the past 5 years hawana jipya tena hata wajitutumue vipi. Hussein ni uchochoro na kapombe ni uchochoro . Unapofanya reforms haipaswi kuangalia mtu usoni.

Wachezaji wa SSC bado hawana stamina na ile spirit ya kuutafuta moira. Kuna kitu Yanga wanacho , nadhan hii ni philosophe ya kocha, wachezaji wana spirit ya kupeleka mpira mbele na wana team work ya ajabu sana hawa Yanga.

Yanga ina wachezaji wakawaida tu , but team work yao ni ya ajabu sana Maa shaa Allah . SSC hawana spirit na hawana team work , ni hopeless team .

All in all , Sijapenda Yanga kumsajili Chama kwa maana hana maajabu na hatokuwa na maajabu kwa namna yoyote ile . . Bado anatembelea nyota yake ya zamani ila ninaamini chini ya Gamond, benchi litamuhusu.

SSC nyie kila siku mnaboresha timu, ni lini mtatuonesha matokeo ya investment ? . You are failure and hopeless as always

Sapoti yetu kwa sasa ni Yanga na Azam
Kwani toka yanga wameanza mabadiliko yao hawajawahi fungwa na simba? Watu mnajitoa ufahamu kweli
 
Back
Top Bottom