Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Huyu mwenye kutaka waingereza??Umejaribu kupitia thread zake?
Kwamba huyu anaweza kuwa msela na ndevu zake? Ila basi utakuwa mpunga huu
Mimi nakulia mikononi mwako.Ukiwa mkubwa usiwe kama Ma Mshuza, sawa dogo!
Tunashindwa kuelewa tusute wanaume au[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama mshuzaaaa on the beat!!
Ila kuna mahali umenipoteza kidogo mzee mwenzangu, kwani unatusema wanawake au wanaume wanuka mbupu?? Hebu kwa leo tukonsetreti huko kwingine tu.
Huyu mwenye kutaka waingereza??
Ni jamaa tena sio maza huyu??..
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].You chose the right path, sitakuangusha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo vijana hamchangamki mama tangu alipoanza kuhangaika mnajikaushaHii K inahangaika balaa.
Stress zitakuua mama, tafuta hata kiben ten kikupunguzie genye.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].
Ngoja nije nisutwe nimejirahisisha.[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo vijana hamchangamki mama tangu alipoanza kuhangaika mnajikausha
Hahaha kwahiyo unatushauri vp? ?tufanyeje kuanzia sasa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo vijana hamchangamki mama tangu alipoanza kuhangaika mnajikausha
ππππTunashindwa kuelewa tusute wanaume au[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafeli dogo, baki kwenye mada, haswa kichwa cha mada.