Na nyie Wanaume mjitahidi muwe na uanaume ndani yenu. Unakuta Mwanaume Fala/Kapoa mpaka basi

Duuu hata mm kuna ka kipande hapo kwenye thread kamenisisimua hasaa
 
Anatoa musoma nini? Ëeeee... Mmewe Ni kutoka Tanga siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da! aisee kweli hawa watu inatakiwa tuishi nao kwa akili. Ujue kuna wakati kama hawapendeki hivi. Sasa nikuambie kitu mtoa post...TUMEACHA KUWAZABA VIBAO KWA SABABU TUNAAMBIWA KUWA HUO UNAITWA MFUMO DUME. Ila nadhani itakuwa mmemisi kitu,sasa tukiwashushieni vipondo msiende USTAWI WA JAMII kulalamika.
 
😀😀😀
 
Hilo tukio la pili mweeh wacha nikalale.
 
Kinachofatia katika hicho kikundi chenu ni kuibiana wanaume manake siri zenu meambiana
 
Hahahahaaaaaaa mzee wa Songea girls hii inakuhusu!
 
Mbona ww unaeleweka kwa hilo ndg yetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…