Wewe tu ndio ulikua unakesha huku ukiponda kenya kwa kuwa na deni kubwa,sasa mpira umegeuka sasa hamchelewi kusema eti ndeni la ndani bla bla. ..mwingine pale juu anasema ati "mnavuna pamba kwaivo mtaweza kulipa deni"akili za kikpumbavu,nyiyi miccm hadi mnatia huruma...Deni la ndani sio shida ni la shilingi kodi zinalipwa na uzalishaji unapanda maradufu. Deni la nje bado liko ndani ya uwezo wetu 22% ya GDP, tena tunauwezo wa kwenda mpaka 50% kiwango kinachokubalika cha EAC.
Hivo ndio ccm inawaambia? Kama vile waliku wanaeneza propaganda eti "sisi tuko na pesa yetu hatukopi tena"kama wako na hela i pesa inakopwa ikienda wapi?? Miccm akili ya panzi.Linaota kutu wakati July zinakuja zote NNE na imeshatangazwa[emoji23][emoji23]..Nchi ambayo iko mbioni kuuzwa ni yenu.. We just counting days
Unatia aibu aisee..... kuvuna pamba inahusiana aje na kulipa deni, ingekua ni mafuta au gesi tungekuelewa lakini kuvuna pambaππππKwa taarifa yako tu Tanzania itaenda kupata billions of foreign money from cotton this year.?
Mavuno ya pamba this year yatakua history in africa, Tanzania hajaiwahi kulima like this?
Target ilikua tones laki moja lakini mpaka sasa tones zitakazovunwa ni zaidi ya laki 8 hajaiwahi tokea
Eti kulipa deni, kwani uliambiwa tumeshindwa kulilipa?Unatia aibu aisee..... kuvuna pamba inahusiana aje na kulipa deni, ingekua ni mafuta au gesi tungekuelewa lakini kuvuna pambaππππ
That's according to the office of the prime Minister, and not only cotton but the rest of other cropsDon't hatchet your counts before they chicken....or how do they say that again?
Kuna watu wa ajabu sasa unachombishia mleta mada ni nini?Kwa taarifa yako tu Tanzania itaenda kupata billions of foreign money from cotton this year.?
Mavuno ya pamba this year yatakua history in africa, Tanzania hajaiwahi kulima like this?
Target ilikua tones laki moja lakini mpaka sasa tones zitakazovunwa ni zaidi ya laki 8 hajaiwahi tokea
We una matatizo nini, kwani nimekuzuia kuchangia mawazo yako? Usinipangie cha kuongea hujaninunulia bundleKuna watu wa ajabu sasa unachombishia mleta mada ni nini?
Nikukumbushe deni lenu wakenya ni 60% ya pato la taifa, na ni zaidi ya kiwango cha nchi za EAC. Deni lenu kubwa limekaliwa na mchina, yeye mchina katumia RMB kuwakopesha nyinyi mtatumia dola kumlipa. Yaani ni kichekesho cha mwaka jinsi mlivyo chezewa na mchina.Wewe tu ndio ulikua unakesha huku ukiponda kenya kwa kuwa na deni kubwa,sasa mpira umegeuka sasa hamchelewi kusema eti ndeni la ndani bla bla. ..mwingine pale juu anasema ati "mnavuna pamba kwaivo mtaweza kulipa deni"akili za kikpumbavu,nyiyi miccm hadi mnatia huruma...
Unakopa kulipa mkopo!!Sisi tunakopa tunafanya vitu vya maana, Kenya inakopa mikopo ya kulipia mikopo
Wazee wa kuhamisha madeni, hatari sana!Unakopa kulipa mkopo!!
Sasa hii nini
Unakimbia mita 10
Unarudi Mita 10[emoji23] [emoji23] [emoji23]