'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

kennedy0000

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
4,349
Reaction score
3,745
Tanzanians are demanding answers from their Supreme leader, who has been lying to them that ATCL is doing well.

According to the so called CAG report, it has been revealed that ATCL has in fact been hemorrhaging money, with no signs of recovery.

Kumewaka moto pale Jukwaa la Siasa.

It does not make sense. They say that they bought the planes with their own cash. Meaning the largest expense most airlines have to contend with, i.e. loans and lease repayments, is not there.
Where is the money going?

Ndege tatu na wameshindwa. Kama wangekuwa na ndege 40 kama KQ, ingekuwa disaster.
 
Tumenunua ndege 7 tukitumia faida ya miaka tatu..nyingine mbili zipo njiani..kwani CAG alifikiria atapata faida yetu ipo benki imekaa tu hovyo?

Faida ya miaka gani hiyo?
ATCL has never made a single shilling as profit in all its years of existence.

Alafu, ndege haziuzwi kama ndizi.
Even Safaricom, the most profitable company in East and Central Africa cannot afford to buy 7 planes with just 3 years of profit.
Unless ni cessna.
 
Hii ripoti ya CAG itabidi tuitafute, inakaa very intresting

 
Miaka tatu ndege zime chapa faida tupu..bombadia kazaa dirimulaina, dirimulaina kazaa airbus mbili..KQ miaka 50 ni tasa, zile ndege za 1977 bado zipo 3, zinaliwa tu na mafisadiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahaha, mumeanza kuweweseka, poleni sana, mtaendelea kuweweseka sana, Tanzania inasonga mbele. Repoti ya CAG imesema hivi;

1) Kuanzia mwaka 2005 hadi 2017 ATCL ilipata hasara ya TSh 38B, hiki ni kipindi ambacho ATCL ilikua na ndege mbili chakavu, moja ilikuwa sio ya ATCL.

2)Katika kipindi cha kuanzia 2017 hadi 2018, ambacho ndio kipindi cha ukaguzi, sasa hivi ATCL hasara iliyobaki ni Tshs 16B, hii maana yake ni kwamba 48% ya deni limelipwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa hizo ndege mpya kuanza kufanya biashara.

3) Kwa hesabu za haraka, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu, ndege za ATCL zimetengeneza zaidi ya Tshs.12B, ambazo zimelipa deni la nyuma, deni lililobaki ni 16B.

Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumenunua ndege 7 tukitumia faida ya miaka tatu..nyingine mbili zipo njiani..kwani CAG alifikiria atapata faida yetu ipo benki imekaa tu hovyo?
Ndege za ATCL zinamilikiwa na state-owned TGFA ambayo ina sub-lease kwa ATCL.. Kwahivyo ATCL haiko kwa biashara ya kununua ndege, kama ni faida yoyote walitengeneza basi ingekua ni full faida ambayo ingeonekana na ingepewa serekali, kwahivyo CAG angesema ATCL ilitengeneza faida ABC na yote ikapewa kwa serekali... Lakini hakusema hivyo, amesema ATCL inapoteza hela, Hio inamaanisha mbali na kua ATCL hawakununua ndege ila walipewa na TGFA bado wanapata loss kubwa wakisafirisha nyama!!!!!!
 
Tumenunua ndege 7 tukitumia faida ya miaka tatu..nyingine mbili zipo njiani..kwani CAG alifikiria atapata faida yetu ipo benki imekaa tu hovyo?
Juzi tu hapa ulisema kwamba ndege ni za GoT, sio ATCL sasa inakuwaje leo tena useme kwamba ATCL wananunua ndege na faida kutoka kwa biashara yao ya usafiri? Ile ya kwanza kabisa walinunua na faida kutoka kwa biashara ya kuuza mutura au? [emoji15]
 
Soma vizuri hii taarifa, acha kukurupuka. Tanzania hoyeeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi tu hapa ulisema kwamba ndege ni za GoT, sio ATCL sasa inakuwaje leo tena useme kwamba ATCL wananunua ndege na faida kutoka kwa biashara yao ya usafiri? Ile ya kwanza kabisa walinunua na faida kutoka kwa biashara ya kuuza mutura au? [emoji15]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nilikuwa nataka kumuuliza kama ameisoma vizuri hiyo ripoti na kuielewa ila umeniwahi.
 
Juzi tu hapa ulisema kwamba ndege ni za GoT, sio ATCL sasa inakuwaje leo tena useme kwamba ATCL wananunua ndege na faida kutoka kwa biashara yao ya usafiri? Ile ya kwanza kabisa walinunua na faida kutoka kwa biashara ya kuuza mutura au? [emoji15]
Mtaendelea kuweweseka mkijuiliza ATCL inanunua ndege kwa kipigo aje.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
KQ miaka 50 ndege ni 3 chakavu..endeleeni kupiga ramli mwaka kesho dirimulaina nyingine inaingiaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Hatari sana, huyu CAG sijui wa wapi jamaa na ujasiri wote huo, yaani jamani utadhani sio Mtanzania, amevuruga balaa, bunge lilijaribu kumzuia likashindikana.
Cag ni mzaliwa msomi na raia wa Tz na ni mmojawapo wa auditors watatu wa UN. Na hii report anaitoa kwa ruhusa ya katiba ya nchi, huyu hupitia mahesabu ya idara zote hadi vyama vya upinzani na mashirika ya uma. Na hamna ujasiri wala uwoga wa chochote, it is part of his job.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari sana, huyu CAG sijui wa wapi jamaa na ujasiri wote huo, yaani jamani utadhani sio Mtanzania, amevuruga balaa, bunge lilijaribu kumzuia likashindikana.

Usishangae huyu ni Mtanzania na si Mkenya , ingekuwa ni Mkenya amefanya hivyo hamchoki kusema hii ofisi inahitaji kubadilishwa(kama ofisi ya majaji ilivyofuta matokeo ya kwanza ya urais mlivyo watisha) wakati mwingine mnasemaga si raia wa Kenya ni wa Canada. [emoji23][emoji23][emoji23]. Wakati mwingine huwa mnawafutilia mbali nakumbuka yule afisa wa tume alivyosimama imara mwisho wa siku akaishia kukatwa viganja na vikatumika kufungua mashine na kura zikabadilishwa.
 
Mimi kwa maoni yangu ATCL inaenda vizuri kama accumulated loss ya wakati wa Ndege mbili imepungua kwa asilimia 48 kwenye mwaka wa fedha 2017/2018 hii ni big achievement kwa hesabu za kawaida.
 
Mimi kwa maoni yangu ATCL inaenda vizuri kama accumulated loss ya wakati wa Ndege mbili imepungua kwa asilimia 48 kwenye mwaka wa fedha 2017/2018 hii ni big achievement kwa hesabu za kawaida.
Kamwe ATCL haiwezi kutengeneza hasara ndani ya kipindi cha Magufuli, jamaa hawezi kukubali shirika lolote la serikali litengeneze hasara, ikitokea hivyo, lazima watu watafukuzwa kazi. HAPA KAZI TU


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya mngepata kama huyo awafanyie auditing hata Kenyatta asingepona kwa mziki wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kenya tunaye mkaguzi ambaye hufanya mara kumi ya huyo wenu, wa kwenu nimempa heko tu kwamba amekua na ujasiri wa kupambana dhidi ya bunge lote la mlengo wa CCM na akalishinda, ninavyojua Watanzania walivyo waoga, nimemshangaa ujasiri wote huo kautoa wapi, ameumbua madudu kwenye serikali ambayo imewekeza sana kuficha data.
Mkaguzi wa Kenya huwa na jeuri hata dhidi ya rais, amewahi kulumbana na Kenyatta ila yeye akasimamia haki na hakutetereka, lakini wa kwenu nakumbuka aliwahi kusimamishwa na rais akaulizwa swali hapo hapo kama kuna hela imepotea, yeye kwa uwoga akajibu hamna hata shilingi iliyopotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…