Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Yah ila inawezeje kutumika km mfano wa shirika la ndege lenye mafanikio, tunacompare ATCl na KQ, ni km tunacompare zabibu na ndimu, KQ ni ndimu by the way.
Hiyo ripoti mimi pia nimeisoma lakini nadhani uelewa wetu ni tofauti.
Yah ila inawezeje kutumika km mfano wa shirika la ndege lenye mafanikio, tunacompare ATCl na KQ, ni km tunacompare zabibu na ndimu, KQ ni ndimu by the way.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninavyoelewa mimi ni kuwa hiyo ya ATC ni riporti ya mwaka 2016-17
Ninavyoelewa mimi ni kuwa hiyo ya ATC ni riporti ya mwaka 2016-17
Nimesema ile ni ripoti ya 16/17 tungejee ripoti ya 18/19.Unachofaa kuelewa ni kwamba ATCL haijawahi tengeneza faida kutoka ianzishwe.
Nimesema ile ni ripoti ya 16/17 tungejee ripoti ya 18/19.
Uongozi mpya uliridhi madeni ambayo kwa sasa yamepungua kwa kiasi cha asilimia 50.
Kadiri shirika linavyozidi kupunguza hasara ni dhahiri kuwa mwanga wa maendeleo unaonekana.
Hahahahaha, wewe ulienda shule kupoteza muda wako, kumbuka madeni ya nyuma ni sehemu ya "Expenses" katika bookiping laziwa yawe deducted from this year revenue. This year you can't say you have make profit without deducting last year loans from revenue.Ethiopia doesn't run on the taxpayers money idiot. And you are not Ethiopia.
How is Kenya doing badly when we are doubling your economy? You are the ones who are stupid.
Thank you for confirming it's "profits" and not profits.
Let's not even go to other failed projects in Tanzania. Let's just focus on your ATCL that after using the taxpayer's money to buy new planes, it's making loses and planning to sell the planes to Kenya Aiways at a throwaway price.
Unazungumzia ndege ya B787 ?Wacha nikupe ukweli wa mambo.
Serikali yenu ni ya kisiri. Sio kama Kenya ambapo vitabu vyote vya KQ hutangazwa kila mwaka.
Ripoti kamili ya ATCL labda uingoje miaka mitano kutoka sasa.
Lakini ukweli ni kwamba hasara ni ile ile. Sababu mmeongeza ndege, ambazo mara mingi hazina abiria, hasara itaongezeka.
Hizo ndege mlinunua hutengeneza pesa kutoka safari za mbali, kama vile kwenda London. Safari za ndani mnazozitumia ni hasara tupu.
Lakini Magufuli mpenda sifa hatawahi mwambia ukwelil.
Vitu za kawaida kwako ni mlima ndio maana ukisema kitu cha kawaida unaona umeelimika sana. Hivi unajua maana ya profit?Hahahahaha, wewe ulienda shule kupoteza muda wako, kumbuka madeni ya nyuma ni sehemu ya "Expenses" katika bookiping laziwa yawe deducted from this year revenue. This year you can't say you have make profit without deducting last year loans from revenue.
Hapo nimeliweka neno "Profit", ili MTU kama wewe ambaye huna elimu ya bookiping uweze kuelewa, KQ pia kwasasa inapunguza gap la loses za nyuma.
Be informed that, under Magufuli, hakuna shirika hata moja litakaloendeshwa kwa hasara bila ya wahusika kufukuzwa, hata MKUU wa Magereza soon atafukuzwa, kwasababu Magufuli hapendi kitendo cha Magereza kupewa pesa na serikali kwa ajili ya chakula cha wafungwa badala ya wafungwa kuzalisha chakula chao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumzia ndege ya B787 ?
Kwa sasa ATC imeshika asilimia 50 ya soko la Tanzania, sasa hizo ndege tupu zinatoka wapi? Regional flights wameanza kwa nchi chache nadhani wanangojea kumalizana na IATA kabla hawajaanza kutekeleza azma ya kuanza safari za mbali.
the soo called economist amesahau how much an aircraft costs anadhani ni v8Tumenunua ndege 7 tukitumia faida ya miaka tatu..nyingine mbili zipo njiani..kwani CAG alifikiria atapata faida yetu ipo benki imekaa tu hovyo?
Profit= Revenue - ExpensesVitu za kawaida kwako ni mlima ndio maana ukisema kitu cha kawaida unaona umeelimika sana. Hivi unajua maana ya profit?
Profit = Revenue - Expenses.
That's economics 101 for you. Tusisumbuane na vitu vya kawaida. ATCL pamoja na kuanza juzi na kununuliwa ndege na serikali bado inatengeneza losses. Nashangaa sasa ingenunua ndege kwa pesa zake ingekuwaje?
Ndio maana kila siku tunawaambia wabongo nyie ndio wapuuzi wakuu humu Afrika. Yaani mnaibiwa kweupe lakini bado mtaendelea kuiabudu serikali mkijisifia jinsi mambo yapo shwari. Wakati nchi zingine zinazoendeshwa vyema kuliko bongo zinaenda back to the streets na kufanya riots against corruption, nyie mnaimba 'laisi wetu Magufuli ni kama Mungu'. Yaani huwezi muibia Mkenya, Muganda, Muafrika Kusini nk. asipige kelele ila Mbongo ataibiwa akiona na atakana hajaibiwa. Ndio maana IMF inawaweka wazi jinsi data zenu zinavyopikwa maanake mnaambiwa mko sawa ila matokea yanaonyesha tofauti.
Hahahahaha, mumeanza kuweweseka, poleni sana, mtaendelea kuweweseka sana, Tanzania inasonga mbele. Repoti ya CAG imesema hivi;
1) Kuanzia mwaka 2005 hadi 2017 ATCL ilipata hasara ya TSh 38B, hiki ni kipindi ambacho ATCL ilikua na ndege mbili chakavu, moja ilikuwa sio ya ATCL.
2)Katika kipindi cha kuanzia 2017 hadi 2018, ambacho ndio kipindi cha ukaguzi, sasa hivi ATCL hasara iliyobaki ni Tshs 16B, hii maana yake ni kwamba 48% ya deni limelipwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa hizo ndege mpya kuanza kufanya biashara.
3) Kwa hesabu za haraka, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu, ndege za ATCL zimetengeneza zaidi ya Tshs.12B, ambazo zimelipa deni la nyuma, deni lililobaki ni 16B.
Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Precision air wapo katika biashara kwa zaidi ya miaka 20 sasa na wanapata faida kwa domestic routes pekee, hata baada ya ATCL kuchukua 50% market share bado Precision Air inaendelea kupata faida, Tanzania is a big country.Tanzania is a very small market. Abiria wa Tanzania ni wachache sana.
Hata ATCL ishikilie 500% bado haitoshi.
The fact that Mr Kiparangoto steals then anakazia macho wanahabari wasiseme doesn't make you less corrupt. In fact you are more corrupt than Kenya.Profit= Revenue - Expenses
Expenses= Expenditure + loans repayments
There fore
Profit= Revenue - Expenditure + loans repayments
P = R - E +L
If you end up with (+)P, that is profit
If you end up with (-)P, that is lose
In case of ATCL, loans repayment due to previous loses is bigger than revenue, hence we end up with (-)P.
Kuhusu kuibiwa, Kenya ndio nchi inayoongaza hapa Afrika kwa kuibiwa, wala hakuna mbachofanya, mpo nafasi ya 123 katika rushwa, viongozi wenu ndio wanaowaibia wakiguswa mnawatetea kwa misingi ya ukabila, kama kuna nchi ya hovyo hapa duniani, Kenya ni miongoni mwao, ndio sababu imewekwa kundi la failed states.
Sent using Jamii Forums mobile app
From 6% kwa mwaka 2015 unasemaje? utilization kwa sasa ni 11hours kwa siku[ninazungumzia Q400]Tanzania is a very small market. Abiria wa Tanzania ni wachache sana.
Hata ATCL ishikilie 500% bado haitoshi.
Yaani leo unaisifia Precision Air ambayo KQ ni mmiliki mkubwa wa shares zake? [emoji15][emoji15][emoji15] You can never hide from Kenya's shadow my nigga! 😎PrecisioPrecision air wapo katika biashara kwa zaidi ya miaka 20 sasa na wanapata faida kwa domestic routes pekee, hata baada ya ATCL kuchukua 50% market share bado Precision Air inaendelea kupata faida, Tanzania is a big country.
Domestic routes zitaendelea kuwa main sources of revenue kwa ATCL hata baada ya kuanzisha safari za nje kutokana na competition ya usafiri wa ndege ulivyo kwa sasa, faida kubwa itakayopatikana kutokana na safari za nje ni utalii na investments.
Sent using Jamii Forums mobile app
PrecisioPrecision air wapo katika biashara kwa zaidi ya miaka 20 sasa na wanapata faida kwa domestic routes pekee, hata baada ya ATCL kuchukua 50% market share bado Precision Air inaendelea kupata faida, Tanzania is a big country.
Domestic routes zitaendelea kuwa main sources of revenue kwa ATCL hata baada ya kuanzisha safari za nje kutokana na competition ya usafiri wa ndege ulivyo kwa sasa, faida kubwa itakayopatikana kutokana na safari za nje ni utalii na investments.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani leo unaisifia Precision Air ambayo KQ ni mmiliki mkubwa wa shares zake? [emoji15][emoji15][emoji15] You can never hide from Kenya's shadow my nigga! 😎