'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

Braza ndege watu wanapanda wa kawaida kabisa,acha kujiliwaza na ujinga, na hakuna ujinga wa kupanda ndege kwa kuangalia wewe ni nani...unaishi Dunia gani wewe? Yaani laki 2 kwenda KIA au laki na 20 unaona nyingi sana haha

Sent using Jamii Forums mobile app

Enda ukaambia wenzako Jukwaa la siasa.
Nilisema tu chenye nilisoma huko.
 
Hii ni kuonyesha kwamba hatuna mchezo na pesa ya serikali, sio huko kwenu watu wanabeba pesa kwenye magunia, na bado wanasiasa wanawatetea. Kwa Kenya kwasababu ufisadi upo kwenye damu yenu, kila kitu kwenu mtaona ni sawa tu ili mpate pesa.

Huku kwetu tunabana matumizi ili tupate pesa ya kununua dawa na vifaa vya Hospital, tujenge SGR kwa pesa yetu, na tujenge Rufiji hydroelectric dam. Ngoja tuone kama hiyo rangi ya 5M, ndege itashindwa kupaa angani, au watu wataikataa kusafiria.

Wale wapiga madili sasa hali mbaya...
Hizi ni zama za Magufuli sio Jakaya....

Hiyo nchi yenu ni nchi ya kitu kidogo, usijaribu kutuambukiza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna rangi ya ndege ya Tsh5 million. Kupaka ndege rangi ni zaidi ya $100,000 usd.
Rais wenu muongo alimdanganya ili muendelee kumpa sifa.

Kama anavyo mdanganya mambo hayo mengine yote. Vile tu alimdanganya kwamba ATCL inaleta faida.

Watu wanojifanya wasomi kama wewe na kumbe umekataa kutumia akili yako mwenyewe. Tanzania mko matatani.
 
Wewe una matatizo ya akili, huwezi kuelewa hisabu za kiuhasibu, ngoja tukufundishe " Just basic principles of book keeping"

Kuna kitu kinaitwa "BF", Balance carrying Forward, hii maana yake kila mwisho wa mwaka wa biashara yako, unafunga mahesabu na unatafuta tofauti kati ya mapato na matumizi, yakiwemo madeni uliyokopa, kama tofauti ni Plus( +), maana yake umepata faida, kama ni negative,(-), maana yake ni hasara.

Hii balance utaingia nayo katika mwaka ujao, endapo huo mwaka ujao revenue zitakuwa kubwa hadi kufidia hasara uliyoingia nayo mwaka huu wa biashara, hiyo itaonekana katika BF ya mwisho wa mwaka huu.

BF ina athiri saba " BD" Balance brought down, ambayo kwa kifupi ndio mtaji unaoanza nao kila mwaka wa biashara. Kama umeanza na madeni( Negative BD), inamaana mwaka unaofuata, faida itakayopata lazima ifidie kulipa hiyo hasara ya nyuma.

Kumbuka ATCL haijawahi kuwa muflisi, kwa hiyo vitabu vyake vya hesabu ni vile vile kuanzia tangu ilipoanzishwa, ni muendekezo wa shirika lilelile. Hii hali ndiyo inayotokea hata kwa KQ, ninakushangaa kushindwa kuelewa kitu kidogo kama hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha aibu, Th report is very clear

net operating loss has decreased from TZS 38.72 billion in 2015/2016 to TZS 16.21 billion in 2016/2017,

Hapo hawajataja carry-forward wala nini, The net loss for FY2015/16 ilikua ni 38B na net loss in FY2016/17 ilikua ni 16B.... Hapo tunaongelea hasara kati ya mika miwili full year performance, Kama kuna chochote kilikua forwarded to 2018, basi hizo ni hesabu za 2018..... tunachoongelea hapa ni kile ambacho kiko kwa ripoti...... Sasa wewe unataka kuanza kuchanganya Profit/Loss na Hesabu za debt, wacha kujiundia dunia yako....... ATCL inatengeneza loss ilhali haimiliki ndege yoyote!
 
Zote zinatumika kuonyesha nafasi ya nchi, acha kujiliwaza. Hii ripoti ilipotoka, nilisikia viongozi wenu huko Kenya wakitumia position katika kuonyesha tatizo la rushwa hapo Kenya. Position ni rahisi sana kuekeweka kuliko scores, katika malengo Kenya mliyojiwekea ni kwamba Kenya isivuke zaidi ya nafasi ya 100 duniani, kwa nini wasitumie score?. Hiyo ni dalili ya kujifanya wajuaji kama kawaida yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu leta ushahidi, wacha kujitungiia story zaidi!!!!
 
Ficha aibu, Th report is very clear
net operating loss has decreased from TZS 38.72 billion in 2015/2016 to TZS 16.21 billion in 2016/2017,
Hapo hawajataja carry-forward wala nini, The net loss for FY2015/16 ilikua ni 38B na net loss in FY2016/17 ilikua ni 16B.... Hapo tunaongelea hasara kati ya mika miwili full year performance, Kama kuna chochote kilikua forwarded to 2018, basi hizo ni hesabu za 2018..... tunachoongelea hapa ni kile ambacho kiko kwa ripoti...... Sasa wewe unataka kuanza kuchanganya Profit/Loss na Hesabu za debt, wacha kujiundia dunia yako....... ATCL inatengeneza loss ilhali haimiliki ndege yoyote!
Shule ni muhimu sana
 
Obsession with Tz mpaka una download majedwali ya CAG wao😆😆
Haya mzee...Hiyo inaitwa book value loss..Ukitaka kuona profit angalia Ndege ngapi Tz wamenunua kutumia pesa zao😂😂
Tehehehee. Pwahahahaa. Pwahahahaa. I didn't know you are this silly until today
 
Kila nchi kuna element ya ufisadi, hata huko Newzealand, tofauti ni kwamba je hicho kiwengo kina athari kiasi gani kwa jamii? " Is it a public problem?". Tanzania rushwa haijajenfeka katika ngazi ya wanasiasa kama ilivyo huko Kenya, zaidi ipo katika ngazi za wakurugenzi ambao wapo ndani ya uwezo wa rais, na anawafyeka kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba Watanzania hata hawajui kama wako na shida.... Nchi yenye rotuba na kila aina ya madini bado mko LDC lakini hamuoni kama mko na shida... Unajua ufisadi si kuiba pesa tu,Ufisadi uko na same effect ya kuandika viongozi wa serekali amba ni wavivu,wajinga....etc
 
Wewe una matatizo ya akili, huwezi kuelewa hisabu za kiuhasibu, ngoja tukufundishe " Just basic principles of book keeping"

Kuna kitu kinaitwa "BF", Balance carrying Forward, hii maana yake kila mwisho wa mwaka wa biashara yako, unafunga mahesabu na unatafuta tofauti kati ya mapato na matumizi, yakiwemo madeni uliyokopa, kama tofauti ni Plus( +), maana yake umepata faida, kama ni negative,(-), maana yake ni hasara.

Hii balance utaingia nayo katika mwaka ujao, endapo huo mwaka ujao revenue zitakuwa kubwa hadi kufidia hasara uliyoingia nayo mwaka huu wa biashara, hiyo itaonekana katika BF ya mwisho wa mwaka huu.

BF ina athiri saba " BD" Balance brought down, ambayo kwa kifupi ndio mtaji unaoanza nao kila mwaka wa biashara. Kama umeanza na madeni( Negative BD), inamaana mwaka unaofuata, faida itakayopata lazima ifidie kulipa hiyo hasara ya nyuma.

Kumbuka ATCL haijawahi kuwa muflisi, kwa hiyo vitabu vyake vya hesabu ni vile vile kuanzia tangu ilipoanzishwa, ni muendekezo wa shirika lilelile. Hii hali ndiyo inayotokea hata kwa KQ, ninakushangaa kushindwa kuelewa kitu kidogo kama hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
BTW hio 16 Billion Tsh Operating loss ni sawa na $7Million USD, KQ ilikua na operating loss ya $183Million in 2015, in 2016 Operating loss ilikua imepungua hadi $40Million, in 2017 KQ's Operating loss ilikua $8.9 Million!!!!!!!!!
That was the loss before factoring in Tax deductions and other costs

1068802



Kwahivyo tukitumia hio Logic yako ambayo umejaribu kujitengezea I guess KQ tulipata faida kubwa ndani ya miiaka mitatu manake tulitoka operating loss ya $183Million hadi $8.9Million!!!!!!
 
Hakuna rangi ya ndege ya Tsh5 million. Kupaka ndege rangi ni zaidi ya $100,000 usd.
Rais wenu muongo alimdanganya ili muendelee kumpa sifa.

Kama anavyo mdanganya mambo hayo mengine yote. Vile tu alimdanganya kwamba ATCL inaleta faida.

Watu wanojifanya wasomi kama wewe na kumbe umekataa kutumia akili yako mwenyewe. Tanzania mko matatani.
Hahahahaha, hakuna rangi ya ndege chini ya $100,000?, hiyo ni huko Kenya mliozoea wizi na kuibiwa, ndio sababu rushwa haiishi, onyesha hiyo $100,000 umeipata wapi na umeijuaje kama sio athari za rushwa zilizozidi katika vichwa vyenu, ndio sababu nchi yenu madeni yabaongezeka na scandals kila siku zinaibuka.

Ona tofauti kati ya Kenya na Tanzania, wakati Tanzania tunalalamika kwamba tunatumia pesa kidogo sana kwa kazi inayohitaji pesa nyingi, huko Kenya tatizo ni miradi kutumia pesa nyingi zaidi kuliko uhalisia, Tanzania na Kenya ni sawa na mbingu na ardhi katika jambo la rushwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom