joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
The point here is that, Precision is making profit for 20 years now, 99% it flies domestically, that's why ATCL after capturing 50% of domestic market, it makes huge Revenue, most of you can't believe. Precision is still making profit despite of loosing 40% of its market share.
The point here is that, Precision is making profit for 20 years now, 99% it flies domestically, that's why ATCL after capturing 50% of domestic market, it makes huge Revenue, most of you can't believe. Precision is still making profit despite of loosing 40% of its market share.
If you are clever enough can just ask yourselves, how is it possible for are company which has taken over a big share of lucrative market to make loss
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni habari njema ATCL kuweza kupunguza deni kwa asilimia 50. Manake shirika halijiendeshi kwa hasara!ATCL yapunguza hasara takriban asilimia 50-Ripoti
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebainisha kuwa mashirika 14 ya umma yana matatizo ya kifedha na kupata hasara hadi kusababisha madeni zaidi ya mitaji yao kwa zaidi yamobile.mwananchi.co.tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga, onyesha BD na BF ya mwaka Jana ya Precision Air, acha kuweka matangazo, hujui hata kufanya analysis vitabu vya account, unachojua ni kuweka tu mapicha.Shida enyu ni kusoma. Reading has become your number one enemy.View attachment 1069402
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga, onyesha BD na BF ya mwaka Jana ya Precision Air, acha kuweka matangazo, hujui hata kufanya analysis vitabu vya account, unachojua ni kuweka tu mapicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa akili yake ATCL ijiendeshe kwa hasara na Magufuli awe kimya, wakati siku anawakabidhi ndege aliwaambia yeye neno hasara halipo katika kichwa chake?, aliwaambia wakishindwa atawanyang'anya na kuwapa watu wengine kwa kuwakodishia hizo ndege.Hii ni habari njema ATCL kuweza kupunguza deni kwa asilimia 50. Manake shirika halijiendeshi kwa hasara!
Waliochukia kufufuliwa kwa ATCL wamenuna, wamekumbatia mito wakitoa machozi
Acha ujinga, onyesha BD na BF ya mwaka Jana ya Precision Air, acha kuweka matangazo, hujui hata kufanya analysis vitabu vya account, unachojua ni kuweka tu mapicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna tofaut na ndeziNdio kawaida ya ATCL(Any Time Cancellation Limited) ndege zinasafiri na abiria wachache. Alafu muda wowote ule abiria wanaweza wakashushwa ghafla ili ndege liende likapigwe rangi. [emoji1]
Kitabu gani hicho? Na waliobaki wawili ni nani na nani?Nimekuenda sana! Yaani halafu ninavyopenda watu wenye mawazo positive? Wakati wana wa Isreal wanatoka Misri kwenda Kaanani Nchi ya Ahadi, Mungu aliwaua karibia wote walioanza safari kutokea Misri, akabakiza wawili tu. Wengi wao aliwaua kwa kuwa na mawazo mgando kama walivyo wengi wetu humu, kukaa wanatamani mabaya tu kwa nchi yao. Haya majitu ndiyo hasa yanayotusumbua tunashindwa kwenda kwa kasi inayotakiwa, na mengi yake yapo hadi majumbani kwetu tunamoishi. Too sad!
Hahaha! 😀 Ni nini ambacho hujaelewa? Any Time Cancellation(ATC)Huna tofaut na ndezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Loss ya 2017 ndo hiyo hapo. Nataka uniambie hizo 20yrs precision walikuwa wanatengeza profit kwani walikuwa wanaoperate Mars ama Jupiter.Hivi kwa akili yake ATCL ijiendeshe kwa hasara na Magufuli awe kimya, wakati siku anawakabidhi ndege aliwaambia yeye neno hasara halipo katika kichwa chake?, aliwaambia wakishindwa atawanyang'anya na kuwapa watu wengine kwa kuwakodishia hizo ndege.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, hahahahaha, hahahahahaLoss ya 2017 ndo hiyo hapo. Nataka uniambie hizo 20yrs precision walikuwa wanatengeza profit kwani walikuwa wanaoperate Mars ama Jupiter.View attachment 1069424
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitabu gani hicho? Na waliobaki wawili ni nani na nani?
Nimekushika pabaya Leo. In this world of today you can't cheat us, we argue with verified facts not guess work. Ati Precision imekuwa ikimake profit for 20yrs when in fact their books are reading losses after losses.
Yule rais muongo ndo unamshangilia? I have never seen a President lying without even blinking.
Ukitaka kujua jamaa ameshindwa ,his response is always hahahahahaha ......Tanzania/megafuli hoyeeeNimekushika pabaya Leo. In this world of today you can't cheat us, we argue with verified facts not guess work. Ati Precision imekuwa ikimake profit for 20yrs when in fact their books are reading losses after losses.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua jamaa ameshindwa ,his response is always hahahahahaha ......Tanzania/megafuli hoyeee