Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

Wivuuu, kwasababu ninyi hamna uwezo wa kununua ndege, mnataka na sisi tuwe kama ninyi sio?. Mwanzoni mlisema ATCL ni serikali, na serikali haipaswi kufanya biashara tuige mfumo wa KQ, ghafla serikali yenu ikaamua kuiga mfumo wa ATCL kwa kulirudisha KQ serikalini.

Ngoja nikuhorodheshehe mashirika ya ndege ambayo yamenunua ndege, sio kukodisha.
1) Ethiopia Airways
2)British Airways
3)Emirates
4)KLM
5)Turkey Airway
6)Qatar
7)SAA
8)Lufthansa
9)Swis Air
10)Singapore Airline


Mashirika yote haya yamenunua ndege zake wenyewe. Hahahaha, Hahahaha.
Utaratibu wa kununua uko hivi: wanalipa % ya bei halafu wanaendelea kumlipa kidogo kidogo kwa kipindi ca miaka 10 kama mtu anayenunua gari kwa finance lakini hawanunui cash hao uliowataja wote hawajawahi kununua ndege cash
 
Utaratibu wa kununua uko hivi: wanalipa % ya bei halafu wanaendelea kumlipa kidogo kidogo kwa kipindi ca miaka 10 kama mtu anayenunua gari kwa finance lakini hawanunui cash hao uliowataja wote hawajawahi kununua ndege cash
MMMMMH MKUU HADI QATAR ?!!!!!!!!!!
 
MKIAMBIWA NYIE VIFALA MNABISHA.

Country GDP (2017, IMF)
1 Nigeria $376.3 billion
2 South Africa $349.3 billion
3 Egypt $237.1 billion
4 Algeria $178.3 billion
5 Angola $124.2 billion
6 Morocco $109.8 billion
7 Ethiopia $80.9 billion
8 Kenya $79.5 billion
9 Sudan $58.2 billion
10 Tanzania $51.7 billion

Talking to an idiot is a very stressful exercise.
Are we in the year 2017.

I've given you a link from IMF 2019, and you pretend to have not seen it.

I'll give it to you again - https://www.imf.org/external/datamapper/NGDPD@WEO/ITA/KOR/AFQ

IMF.JPG
 
ETHIOPIA ANA MAKUSANYO MAKUBWA YA MAPATO HVYO KUNUNUA NDEGE YEYE ANAWEZA.
ILA TUKIJA KTK MASUALA YA PER CAPITA INCOME KUTOKANA NA KUWA MAPATO YAKE UKIGAWANYA NA IDADI YA WANANCHI HAYATATOSHELEZA KUTOKANA NA GREAT POPULATION BASI ETHIOPIA ITAKUA LESS DEVELOPED COUNTRY.

Wacha nikuandikia hii tena. Wewe ni kama nikae nikirudia ili uelewe.


Bajeti ya serikali ya Ethiopia mwaka wa 2019 ni - $13 billion
Bajeti ya serikali ya Kenya mwaka wa 2019 ni - $30 billion

Tax revenue ya Ethiopia 2018 ilikuwa - $7.4 billion
Tax revenue ya Kenya 2018 ilikuwa - $14 billion
 
ETHIOPIA ANA MAKUSANYO MAKUBWA YA MAPATO HVYO KUNUNUA NDEGE YEYE ANAWEZA.
ILA TUKIJA KTK MASUALA YA PER CAPITA INCOME KUTOKANA NA KUWA MAPATO YAKE UKIGAWANYA NA IDADI YA WANANCHI HAYATATOSHELEZA KUTOKANA NA GREAT POPULATION BASI ETHIOPIA ITAKUA LESS DEVELOPED COUNTRY.
YAN TAKWIMU ULIZOLETA UNAJISOMESHA MWENYEWE KIJANA.
POOR YOU KAKAE CLASS USOME HZO VTU MBILI.
ASA KM NDEGE ZINANUNULIWA KWA CASH SIO KWA GDP SIDHAN KM UNAELEWA NN MAANA YA GDP.

Wewe ni ng'ombe tu ya kawaida.

Jina LDC lina maana yake kulingana na IMF, World Bank. Sio jina la kubandika tu.
Ni jina la nchi yoyote ambayo per capita yake iko chini ya $1,230.
Tanzania, Ethiopia mko ndani.

Ethiopia makusanyo yake ya ushuru 2018 ilikuwa $7.4 billion pekee. Hio ni nusu ya Kenya.

Kwa akili yako ndogo, hayo ndio unaita 'makusanyo makubwa'?

Enda ukasome hapa.
 
Talking to an idiot is a very stressful exercise.
Are we in the year 2017.

I've given you a link from IMF 2019, and you pretend to have not seen it.

I'll give it to you again - https://www.imf.org/external/datamapper/NGDPD@WEO/ITA/KOR/AFQ

View attachment 1192270
Unakumbuka hata nn ulichonijibu??!!!
Unajua nn nachozungumzia???!!!!!!
Kwani mimi hzo list nimezitolea wapi ???!!!!!!
Hapa kazi ipo.

Kaa kwanza elewa mm nilikua nazungumzia nini.
Maana unaleta tu link ilhali hujaelewa bado nn tunazungumzia.
Embu nikuulize,tunazungumzia nominal GDP per capita income au GDP purchasing power parity ????!!!!!
Ukijibu hapo utaelewa nn tunazungumzia.
Usi copy na paste tuu tulia tizama nn tunazungumzia.
 
Wacha nikuandikia hii tena. Wewe ni kama nikae nikirudia ili uelewe.


Bajeti ya serikali ya Ethiopia mwaka wa 2019 ni - $13 billion
Bajeti ya serikali ya Kenya mwaka wa 2019 ni - $30 billion

Tax revenue ya Ethiopia 2018 ilikuwa - $7.4 billion
Tax revenue ya Kenya 2018 ilikuwa - $14 billion
Kwa akili yako hv ndivyo nominal GDP inavyopimwa??!!!!
Nieleze nominal GDP inapimwaje??!!!

Daah nishaelewa nipo na mtu hajui nn tunazungumzia.
 
Unakumbuka hata nn ulichonijibu??!!!
Unajua nn nachozungumzia???!!!!!!
Kwani mimi hzo list nimezitolea wapi ???!!!!!!
Hapa kazi ipo.

Kaa kwanza elewa mm nilikua nazungumzia nini.
Maana unaleta tu link ilhali hujaelewa bado nn tunazungumzia.
Embu nikuulize,tunazungumzia nominal GDP per capita income au GDP purchasing power parity ????!!!!!
Ukijibu hapo utaelewa nn tunazungumzia.
Usi copy na paste tuu tulia tizama nn tunazungumzia.

Wacha ujinga.
Mimi nimekuletea list ya 2019.
Wewe unakimbilia list ya 2017. Una kichaa?

Kwa nini uwachie hapo. Enda ukatafute list ya 1987.
 
Embu nikuulize,tunazungumzia nominal GDP per capita income au GDP purchasing power parity ????!!!!!
Ukijibu hapo utaelewa nn tunazungumzia.

Nazungumzia zote. Na Kenya iko mbele ya Ethiopia kwa zote.

Kenya GDP - $99 billion
Ethiopia GDP - $90 billoin

Kenya GDP per capita - $2000
Ethiopia GDP per capita - $951

Kenya GDP per capita (PPP) - $3,870
Ethiopia GDP per capita (PPP) - $2,520
 
Kwa akili yako hv ndivyo nominal GDP inavyopimwa??!!!!
Nieleze nominal GDP inapimwaje??!!!

Daah nishaelewa nipo na mtu hajui nn tunazungumzia.

Kwa nini nikueleze?
What matters ni kwamba wanaofanya kazi ya kupima wamesema Kenya iko mbele ya Ethiopia.

Serikali ambayo inanunua ndege, haitatumia GDP kununua. Inatumia pesa.
Ya Ethiopia mapato yake ni $7.4 billion pekee. Hio itanunua ndege ngapi?
 
Wewe ni ng'ombe tu ya kawaida.

Jina LDC lina maana yake kulingana na IMF, World Bank. Sio jina la kubandika tu.
Ni jina la nchi yoyote ambayo per capita yake iko chini ya $1,230.
Tanzania, Ethiopia mko ndani.

Ethiopia makusanyo yake ya ushuru 2018 ilikuwa $7.4 billion pekee. Hio ni nusu ya Kenya.

Kwa akili yako ndogo, hayo ndio unaita 'makusanyo makubwa'?

Enda ukasome hapa.
ONA ULIVYO MAATYAAKOOO!!!!!!?????
kwahiyo hvyo ndivyo mapato ya serikali yanavyopatikana ni ktk revenue peke ake???!!!!!
Kasome definition ya GROSS DOMESTIC PRODUCT maanake nini.

Revenue peke ake sio makusanyo ya serikali.
Makusanyo ya serikali yanatoka pande tofauti ikijumlisha sector zote za uchumi wa hyo nchi husika.

The Gross Domestic Product measures the value of economic activity within a country. Strictly defined, GDP is the sum of the market values, or prices, of all final goods and services produced in an economy during a period of time.

Yani kumbe nabishana na jitu hata halijielewi.
SWALI,MAKUSANYO YA SERIKALI NI MAPATO YA KODI PEKE AKE AMA NI NINI???!!!
Twende mdogo mdogo utanielewa.
 
Kwa nini nikueleze?
What matters ni kwamba wanaofanya kazi ya kupima wamesema Kenya iko mbele ya Ethiopia.

Serikali ambayo inanunua ndege, haitatumia GDP kununua. Inatumia pesa.
Ya Ethiopia mapato yake ni $7.4 billion pekee. Hio itanunua ndege ngapi?
Unaelewa mapato ya serikali yanavyopatikana????
Au ww unaelewaje ukiambiwa mapato ya serikali??!!!!
Kwan GDP maanake nini ??!!!!
GDP inakusanywa kwa maembe na mananasi au????
Serikali vyanzo vyake vya vipato vitakapokusanywa mapato yake vinajenga nini???!!!!
Au hyo $99 bilns Kenya mmeipataje??!!!!
Tuanze hapo.
 
Nazungumzia zote. Na Kenya iko mbele ya Ethiopia kwa zote.

Kenya GDP - $99 billion
Ethiopia GDP - $90 billoin

Kenya GDP per capita - $2000
Ethiopia GDP per capita - $951

Kenya GDP per capita (PPP) - $3,870
Ethiopia GDP per capita (PPP) - $2,520
Kasome post yangu ya 120 utaelewa nn nazungumzia maana Daaah.
 
ONA ULIVYO MAATYAAKOOO!!!!!!?????
kwahiyo hvyo ndivyo mapato ya serikali yanavyopatikana ni ktk revenue peke ake???!!!!!
Kasome definition ya GROSS DOMESTIC PRODUCT maanake nini.

Revenue peke ake sio makusanyo ya serikali.
Makusanyo ya serikali yanatoka pande tofauti ikijumlisha sector zote za uchumi wa hyo nchi husika.

The Gross Domestic Product measures the value of economic activity within a country. Strictly defined, GDP is the sum of the market values, or prices, of all final goods and services produced in an economy during a period of time.

Yani kumbe nabishana na jitu hata halijielewi.
SWALI,MAKUSANYO YA SERIKALI NI MAPATO YA KODI PEKE AKE AMA NI NINI???!!!
Twende mdogo mdogo utanielewa.

Your pathetic education again on display.

Ebu nielimishe. Mapato ya serikali inatoka wapi kama sio kwa ushuru?
Na hayo mapato ya kando, inaongeza billioni ngapi?
 
Unaelewa mapato ya serikali yanavyopatikana????
Au ww unaelewaje ukiambiwa mapato ya serikali??!!!!
Kwan GDP maanake nini ??!!!!
GDP inakusanywa kwa maembe na mananasi au????
Serikali vyanzo vyake vya vipato vitakapokusanywa mapato yake vinajenga nini???!!!!
Au hyo $99 bilns Kenya mmeipataje??!!!!
Tuanze hapo.

GDP na mapato ya serikali ni vitu mbili tofauti sana.
What is your IQ?
 
Unaelewa mapato ya serikali yanavyopatikana????
Au ww unaelewaje ukiambiwa mapato ya serikali??!!!!
Kwan GDP maanake nini ??!!!!
GDP inakusanywa kwa maembe na mananasi au????
Serikali vyanzo vyake vya vipato vitakapokusanywa mapato yake vinajenga nini???!!!!
Au hyo $99 bilns Kenya mmeipataje??!!!!
Tuanze hapo.

Wewe sijui ulielimishwa wapi.

Kampuni A ya Kenya itengeneze gari za total $10 million kwa mwaka.
Kampuni B ya Kenya itengeneze sukari ya $20 million kwa mwaka.
Kampuni C iuze bundle za airtime za $500 million kwa mwaka.
Duka D iuze mboga za $200 kwa mwaka.
Ofisi E ipate client alipe $1000.
Na kadhalika.

Ukijumulisha hio pesa yote, unapata GDP. Hivyo ndivyo Kenya imefika $99 billion.

Haimaanishi GDP ni mapato ya serikali. Serikali itapata asilimia kidogo ya hiyo, kwa kuokota ushuru.

Najua leo nimekuelimisha kuliko ulivyosoma shule.
 
GDP na mapato ya serikali ni vitu mbili tofauti sana.
What is your IQ?
Buddah kakae usome class .
Acha ubishi.

What is GDP and how is it calculated?
Written out, the equation for calculating GDP is: GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports). For the gross domestic product, “gross” means that the GDP measures production regardless of the various uses to which the product can be put.

Kwa hiyo definition utaweza elewa.
Maana mnajazwa ujinga sana na kukariri.
 
Wewe sijui ulielimishwa wapi.

Kampuni A ya Kenya itengeneze gari za total $10 million kwa mwaka.
Kampuni B ya Kenya itengeneze sukari ya $20 million kwa mwaka.
Kampuni C iuze bundle za airtime za $500 million kwa mwaka.
Duka D iuze mboga za $200 kwa mwaka.
Ofisi E ipate client alipe $1000.
Na kadhalika.

Ukijumulisha hio pesa yote, unapata GDP. Hivyo ndivyo Kenya imefika $99 billion.

Haimaanishi GDP ni mapato ya serikali. Serikali itapata asilimia kidogo ya hiyo, kwa kuokota ushuru.

Najua leo nimekuelimisha kuliko ulivyosoma shule.
Asa hayo si ndio mapato ya serikali????
Au hayo ndio nn???!!!!
Au budget inapangwaje bila mapato??!!!!
Vyenzo vinavyopatia hela serikali husika ndio mapato yake hayo.

Oh my Gush hii ni tabu.
 
Baptism by fire.
Mmejigamba ndege mmenunua na pesa yenu.

We tried to explain to you that many airlines are choosing to lease not buy. Leased aircraft makes up almost 50% of the world fleet, up from less than 10% a few decades ago.

The dynamics of owning your planes are just too much.
In case of unexpected situations like you currently find yourself in, the whole baggage is yours to carry.

Kwanza vile ATCL ni 100% ya serikali, your planes will be very lucrative to all the foreign businessmen you have been mistreating over the decades.

Already, another company is suing your government in the UK after they generated for you power and you refused to pay.

Very soon usishangae zile kuku zetu mlichoma wenyewe wakienda mahakamani.

ATCL sitashangaa ikiwa reduced to local routes. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko sahihi kabisa.

Tulikurupuka sana.
 
Asa hayo si ndio mapato ya serikali????
Au hayo ndio nn???!!!!
Au budget inapangwaje bila mapato??!!!!
Vyenzo vinavyopatia hela serikali husika ndio mapato yake hayo.

Oh my Gush hii ni tabu.

Hayo ni mapato ya hizo kampuni.
Mapato ya serikali ni ushuru ambao hizo kampuni zitalipa.

Mapato ya serikali ya Ethiopia ni $7.4 billion.

Why are you this thick?
 
Back
Top Bottom