Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

Utaratibu wa kununua uko hivi: wanalipa % ya bei halafu wanaendelea kumlipa kidogo kidogo kwa kipindi ca miaka 10 kama mtu anayenunua gari kwa finance lakini hawanunui cash hao uliowataja wote hawajawahi kununua ndege cash
 
Utaratibu wa kununua uko hivi: wanalipa % ya bei halafu wanaendelea kumlipa kidogo kidogo kwa kipindi ca miaka 10 kama mtu anayenunua gari kwa finance lakini hawanunui cash hao uliowataja wote hawajawahi kununua ndege cash
MMMMMH MKUU HADI QATAR ?!!!!!!!!!!
 

Talking to an idiot is a very stressful exercise.
Are we in the year 2017.

I've given you a link from IMF 2019, and you pretend to have not seen it.

I'll give it to you again - https://www.imf.org/external/datamapper/NGDPD@WEO/ITA/KOR/AFQ

 

Wacha nikuandikia hii tena. Wewe ni kama nikae nikirudia ili uelewe.


Bajeti ya serikali ya Ethiopia mwaka wa 2019 ni - $13 billion
Bajeti ya serikali ya Kenya mwaka wa 2019 ni - $30 billion

Tax revenue ya Ethiopia 2018 ilikuwa - $7.4 billion
Tax revenue ya Kenya 2018 ilikuwa - $14 billion
 

Wewe ni ng'ombe tu ya kawaida.

Jina LDC lina maana yake kulingana na IMF, World Bank. Sio jina la kubandika tu.
Ni jina la nchi yoyote ambayo per capita yake iko chini ya $1,230.
Tanzania, Ethiopia mko ndani.

Ethiopia makusanyo yake ya ushuru 2018 ilikuwa $7.4 billion pekee. Hio ni nusu ya Kenya.

Kwa akili yako ndogo, hayo ndio unaita 'makusanyo makubwa'?

Enda ukasome hapa.
 
Unakumbuka hata nn ulichonijibu??!!!
Unajua nn nachozungumzia???!!!!!!
Kwani mimi hzo list nimezitolea wapi ???!!!!!!
Hapa kazi ipo.

Kaa kwanza elewa mm nilikua nazungumzia nini.
Maana unaleta tu link ilhali hujaelewa bado nn tunazungumzia.
Embu nikuulize,tunazungumzia nominal GDP per capita income au GDP purchasing power parity ????!!!!!
Ukijibu hapo utaelewa nn tunazungumzia.
Usi copy na paste tuu tulia tizama nn tunazungumzia.
 
Kwa akili yako hv ndivyo nominal GDP inavyopimwa??!!!!
Nieleze nominal GDP inapimwaje??!!!

Daah nishaelewa nipo na mtu hajui nn tunazungumzia.
 

Wacha ujinga.
Mimi nimekuletea list ya 2019.
Wewe unakimbilia list ya 2017. Una kichaa?

Kwa nini uwachie hapo. Enda ukatafute list ya 1987.
 
Embu nikuulize,tunazungumzia nominal GDP per capita income au GDP purchasing power parity ????!!!!!
Ukijibu hapo utaelewa nn tunazungumzia.

Nazungumzia zote. Na Kenya iko mbele ya Ethiopia kwa zote.

Kenya GDP - $99 billion
Ethiopia GDP - $90 billoin

Kenya GDP per capita - $2000
Ethiopia GDP per capita - $951

Kenya GDP per capita (PPP) - $3,870
Ethiopia GDP per capita (PPP) - $2,520
 
Kwa akili yako hv ndivyo nominal GDP inavyopimwa??!!!!
Nieleze nominal GDP inapimwaje??!!!

Daah nishaelewa nipo na mtu hajui nn tunazungumzia.

Kwa nini nikueleze?
What matters ni kwamba wanaofanya kazi ya kupima wamesema Kenya iko mbele ya Ethiopia.

Serikali ambayo inanunua ndege, haitatumia GDP kununua. Inatumia pesa.
Ya Ethiopia mapato yake ni $7.4 billion pekee. Hio itanunua ndege ngapi?
 
ONA ULIVYO MAATYAAKOOO!!!!!!?????
kwahiyo hvyo ndivyo mapato ya serikali yanavyopatikana ni ktk revenue peke ake???!!!!!
Kasome definition ya GROSS DOMESTIC PRODUCT maanake nini.

Revenue peke ake sio makusanyo ya serikali.
Makusanyo ya serikali yanatoka pande tofauti ikijumlisha sector zote za uchumi wa hyo nchi husika.

The Gross Domestic Product measures the value of economic activity within a country. Strictly defined, GDP is the sum of the market values, or prices, of all final goods and services produced in an economy during a period of time.

Yani kumbe nabishana na jitu hata halijielewi.
SWALI,MAKUSANYO YA SERIKALI NI MAPATO YA KODI PEKE AKE AMA NI NINI???!!!
Twende mdogo mdogo utanielewa.
 
Unaelewa mapato ya serikali yanavyopatikana????
Au ww unaelewaje ukiambiwa mapato ya serikali??!!!!
Kwan GDP maanake nini ??!!!!
GDP inakusanywa kwa maembe na mananasi au????
Serikali vyanzo vyake vya vipato vitakapokusanywa mapato yake vinajenga nini???!!!!
Au hyo $99 bilns Kenya mmeipataje??!!!!
Tuanze hapo.
 
Nazungumzia zote. Na Kenya iko mbele ya Ethiopia kwa zote.

Kenya GDP - $99 billion
Ethiopia GDP - $90 billoin

Kenya GDP per capita - $2000
Ethiopia GDP per capita - $951

Kenya GDP per capita (PPP) - $3,870
Ethiopia GDP per capita (PPP) - $2,520
Kasome post yangu ya 120 utaelewa nn nazungumzia maana Daaah.
 

Your pathetic education again on display.

Ebu nielimishe. Mapato ya serikali inatoka wapi kama sio kwa ushuru?
Na hayo mapato ya kando, inaongeza billioni ngapi?
 

GDP na mapato ya serikali ni vitu mbili tofauti sana.
What is your IQ?
 

Wewe sijui ulielimishwa wapi.

Kampuni A ya Kenya itengeneze gari za total $10 million kwa mwaka.
Kampuni B ya Kenya itengeneze sukari ya $20 million kwa mwaka.
Kampuni C iuze bundle za airtime za $500 million kwa mwaka.
Duka D iuze mboga za $200 kwa mwaka.
Ofisi E ipate client alipe $1000.
Na kadhalika.

Ukijumulisha hio pesa yote, unapata GDP. Hivyo ndivyo Kenya imefika $99 billion.

Haimaanishi GDP ni mapato ya serikali. Serikali itapata asilimia kidogo ya hiyo, kwa kuokota ushuru.

Najua leo nimekuelimisha kuliko ulivyosoma shule.
 
GDP na mapato ya serikali ni vitu mbili tofauti sana.
What is your IQ?
Buddah kakae usome class .
Acha ubishi.

What is GDP and how is it calculated?
Written out, the equation for calculating GDP is: GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports). For the gross domestic product, “gross” means that the GDP measures production regardless of the various uses to which the product can be put.

Kwa hiyo definition utaweza elewa.
Maana mnajazwa ujinga sana na kukariri.
 
Asa hayo si ndio mapato ya serikali????
Au hayo ndio nn???!!!!
Au budget inapangwaje bila mapato??!!!!
Vyenzo vinavyopatia hela serikali husika ndio mapato yake hayo.

Oh my Gush hii ni tabu.
 
Uko sahihi kabisa.

Tulikurupuka sana.
 
Asa hayo si ndio mapato ya serikali????
Au hayo ndio nn???!!!!
Au budget inapangwaje bila mapato??!!!!
Vyenzo vinavyopatia hela serikali husika ndio mapato yake hayo.

Oh my Gush hii ni tabu.

Hayo ni mapato ya hizo kampuni.
Mapato ya serikali ni ushuru ambao hizo kampuni zitalipa.

Mapato ya serikali ya Ethiopia ni $7.4 billion.

Why are you this thick?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…