Na sisi wakatoliki tunaomba kilatini kiingizwe kwenye mtaala kama kiarabu kilivyo ingizwa kwa ajili ya waislam

Na sisi wakatoliki tunaomba kilatini kiingizwe kwenye mtaala kama kiarabu kilivyo ingizwa kwa ajili ya waislam

Ndugu zetu walatini nao watapata ajira kama wale wanaoenda kufundisha kiarabu
 
Udini utazidi kutesa watu.
Wapo wanasema wake wawili ni dhambi ila wanafanya uzinzi
Wapo wanaosema nguruwe hafai kuliwa bali pombe wanalewa
Udini pasipo Imani nimzigo mkubwa wa mateso
sisi wakatoliki sio wadini ndio maana hatulalamiki ila tumekuja kuiomba serikali ya awamu ya sita utuwezeshe kujua kilatini tusome na sisi biblia ya kale iliyo andikwa kilatini
 
kwa sisi wakatoliki tunaitaka serikali ya dr. Samia, aingize kilatini katika mitaala yetu.
Japo najua kiarabu kitafutwa siku raisi mwingine akiapishwa.
Wakatoliki na sisi tuanze kujiwaya waya na kujidai kwa kujua lugha ambayo itatusaidia kujua biblia ya kale
 
Wakatoliki na sisi tuanze kujiwaya waya na kujidai kwa kujua lugha ambayo itatusaidia kujua biblia ya kale
Mna haki ya kufanya hivyo ...Andaeni utaratibu mfikishe ombi lenu .

Tanzania ni nchi ya wote.
 
Back
Top Bottom